Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Tuliona ulivyokuwa mstari wa mbele kuwasaidia watoto wa ajari Arusha na tunaamini unawapenda watanzania wote. Sasa huko Kagera leo watoto wadogo wamrlipukiwa na bomu na wanahitaji msaada wa matibabu, tunaomba walau ufike tu na ukawape pole naamini itasaidia. Tanzania ni yetu sote