Ombi kwa Benk kuu ya Tanzania (BOT)

APA CHICAGO

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
259
293
Jana ilitolewa taarifa ikisema BOT, imeshusha riba kwa Mabenki kutoka 7% hadi 5%. Ili Mabenki yaweze kushusha riba kwa Wateja wake ambao ni wafanya biashara, wakulima na watumishi.

Kimsingi ni jambo jema lakini ikumbukwe kuwa mabenki yamewaachia wateja wao ghrama zote za uendeshaji wateja ambao kimsingi ndiyo watumiaji wa mwisho end user.Hadi ninavyoandika hapa mabenki yanatoza riba ya 17-18%, mtu akienda kukopa benki mara processing fee ya mkopo mara bima ya mkopo sasa kwa khali hii mwisho wa siku mkopaji hanufaiki na huo mkopo maana anarejesha fedha nyingi zaidi.

BOT watoe barua ya muongozo inayoonyesha wakopaji wakope kwa riba kiasi gani? yaani ipunguzwe kutoka 17-18%

Ikiwezekana BOT iendelee kutoa fedha kwenye halmashauri kama ilivyofanya mwezi wa nne 2020 na iongeze kiwabgo cha fedha inachokituma kisha kuwatoza asilimia dogo zaidi walao.7% wakati huu wa COVID-19 Crisis.
 
Jana ilitolewa taarifa ikisema BOT, imeshusha riba kwa Mabenki kutoka 7% hadi 5%. Ili Mabenki yaweze kushusha riba kwa Wateja wake ambao ni wafanya buashara, wakulima na watumishi.

Kimsingi ni jambo jema lakini ikumbukwe kuwa Mabenki yameaachia Wateja wao ghrama zote za uendeshaji wateja ambao kimsingi ndiyo watumiaji wa mwisho end user.Hadi ninavyoandika hapa mabenki yanatoza riba ya 17-18%, mtu akienda kukopa benki mara processing fee ya mkopo Mara bima ya mkopo sasa kwa khali hii mwisho wa siku mkopaji hanufaiki na huo mkopo maana anarejesha fedha nyingi zaidi.

BOT watoe barua ya muongozo inayoonyesha wakopaji wakope kwa riba kiasi gani? Yaani ipunguzwe kutoka 17-18%

Ikiwezekana BOT iendelee kutoa. Fedha kwenye halmashauri kama ilivyofanya mwezi wa nne 2020 na kuwatoza asilimia Dogo zaidi walao.7%.Wakati huu wa COVID-19 Crisis.
Ivi kwa sasa apo Tanzania. Personal loans kwa NMB na CRDB wanachaji Asilimia ngapi kwa mwaka kwa mkopo wa miaka 2 au 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana ilitolewa taarifa ikisema BOT, imeshusha riba kwa Mabenki kutoka 7% hadi 5%. Ili Mabenki yaweze kushusha riba kwa Wateja wake ambao ni wafanya buashara, wakulima na watumishi.

Kimsingi ni jambo jema lakini ikumbukwe kuwa Mabenki yameaachia Wateja wao ghrama zote za uendeshaji wateja ambao kimsingi ndiyo watumiaji wa mwisho end user.Hadi ninavyoandika hapa mabenki yanatoza riba ya 17-18%, mtu akienda kukopa benki mara processing fee ya mkopo Mara bima ya mkopo sasa kwa khali hii mwisho wa siku mkopaji hanufaiki na huo mkopo maana anarejesha fedha nyingi zaidi.

BOT watoe barua ya muongozo inayoonyesha wakopaji wakope kwa riba kiasi gani? Yaani ipunguzwe kutoka 17-18%

Ikiwezekana BOT iendelee kutoa. Fedha kwenye halmashauri kama ilivyofanya mwezi wa nne 2020 na kuwatoza asilimia Dogo zaidi walao.7%.Wakati huu wa COVID-19 Crisis.

Mkuu

Do you believe that nonsense outta of BOT’s basket mouth?

Banks will never beba any hasara for nobody!

Mikopo ipo palepale!

Hawa kima wanaongea wanadhani wanaongea na watoto!

We are grown ups,nobody can shit talk on us!
 
Mkuu

Do you believe that nonsense outta of BOT’s basket mouth?

Banks will never beba any hasara for nobody!

Mikopo ipo palepale!

Hawa kima wanaongea wanadhani wanaongea na watoto!

We are grown ups,nobody can shit talk on us!
We believe what we hear
 
Back
Top Bottom