Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Kamanda Ngongo leo umefanya kitu ambacho kama kwa Bahati Mbaya Batilda angetangazwa Mshindi basi Roho ya Mh Lema (Mb) ingekuwa kwenye Hatari sana
Fitna Uliyomzushia Ng Lema kwamba Ameuza Ubunge Ilikuwa ni Mbaya sana kwa maana ungeweza kuchochea Chuki kwa wana Chadema juu ya Mbunge wao bw Lema, Kwa Kweli hii ni Dhambi sawa sawa na Kuua
Najua Humpendi bwana Lema kiasi cha Kutuaminisha kwa eti bw Lymo wa TLP angeweza kushinda
Naomba Ufanye Uungwana na Kumuomba Radhi bw Lema hasa kwa Tuhuma Ulizompa leo Ambazo zilianza kupandikiza hata Chuki kwa wana JF Wapenda maendeleo na Mabadiliko
Fitna Uliyomzushia Ng Lema kwamba Ameuza Ubunge Ilikuwa ni Mbaya sana kwa maana ungeweza kuchochea Chuki kwa wana Chadema juu ya Mbunge wao bw Lema, Kwa Kweli hii ni Dhambi sawa sawa na Kuua
Najua Humpendi bwana Lema kiasi cha Kutuaminisha kwa eti bw Lymo wa TLP angeweza kushinda
Naomba Ufanye Uungwana na Kumuomba Radhi bw Lema hasa kwa Tuhuma Ulizompa leo Ambazo zilianza kupandikiza hata Chuki kwa wana JF Wapenda maendeleo na Mabadiliko