mashakani
JF-Expert Member
- Aug 15, 2018
- 615
- 990
ndio nasikia kahamia kwenu baada ya waliosababisha ndugu zake kufa kuhudhuria msibani lakini marafiki hawakuhudhuria, hivyo kaona bora kuungana na wauajiHuyo joseph mkundu unamjua wewe.
ndio nasikia kahamia kwenu baada ya waliosababisha ndugu zake kufa kuhudhuria msibani lakini marafiki hawakuhudhuria, hivyo kaona bora kuungana na wauajiHuyo joseph mkundu unamjua wewe.
Mimi sijamsikia huyo jamaa yako.ndio nasikia kahamia kwenu baada ya waliosababisha ndugu zake kufa kuhudhuria msibani lakini marafiki hawakuhudhuria, hivyo kaona bora kuungana na wauaji
utamsikia tu, nasikia mafisi mmeanza mgomo baridi baada ya kuona nyumbu wanahamia kwenu na kupewa ulaji huku nyie mkibakia kutetea chama mitandaoniMimi sijamsikia huyo jamaa yako.
Hilo lisaccos lenu linapukutika kila siku ndio maana una jazba. Siwezi kukusaidia aisee.utamsikia tu, nasikia mafisi mmeanza mgomo baridi baada ya kuona nyumbu wanahamia kwenu na kupewa ulaji huku nyie mkibakia kutetea chama mitandaoni
na wewee una jazba kwa kuwa makarai na nyumbu wanatoka upinzani wakifika kwenu wanaonekana lulu. shukuruni sana lisaccos letu limetengeneza viongozi hadi mmewaona na kuwashawishi ili wahamie kwenuHilo lisaccos lenu linapukutika kila siku ndio maana una jazba. Siwezi kukusaidia aisee.
Haisaidii kitu.na wewee una jazba kwa kuwa makarai na nyumbu wanatoka upinzani wakifika kwenu wanaonekana lulu. shukuruni sana lisaccos letu limetengeneza viongozi hadi mmewaona na kuwashawishi ili wahamie kwenu
labda atwambie tofauti na huyo, yeye anapendekeza nani awe mbadala...Hamna hoja yoyote hapa zaidi ya siasa majitaka, mnamuonea wivu hadi kuwa kwenye tume tu ? Ukerewe hakuna Mbunge, yeye ndio mwakilishi mstaafu wa karibuni, je hiyo ni dhambi akiwakilisha wana Ukerewe au mnataka aje Mbowe au mwana CDM ?
akiwekwa meya, watasema kwa vile ni ccmHamna hoja yoyote hapa zaidi ya siasa majitaka, mnamuonea wivu hadi kuwa kwenye tume tu ? Ukerewe hakuna Mbunge, yeye ndio mwakilishi mstaafu wa karibuni, je hiyo ni dhambi akiwakilisha wana Ukerewe au mnataka aje Mbowe au mwana CDM ?
Ukikosa ukweli unaweza kubeba na uongoBaada ya ajali ya MV NYERERE na hasa baada ya kukamilika kwa shughuli za ukusanyaji maiti na uokozi , Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa aliunda tume ya kuchunguza chanzo cha ajali hiii mbaya kabisa iliyoua namia ya wananchi , naogopa kuweka idadi halisi ya waliokufa kwa ajili ya kuheshimu SHERIA YA TAKWIMU , Mungu aziweke roho za marehemu wote mahali pema peponi , Amina .
Mmoja wa wajumbe wa tume hii anaitwa JOSEPH MKUNDI , ambaye Waziri Mkuu alizitaja sababu za kuteuliwa kwake ndani ya kamati hii kuwa ni pamoja na yeye kuwa mkazi wa eneo hilo na pia ni Mwakilishi wa wananchi , kwa maana ya mbunge wa eneo la ajali na kwamba bila ya shaka uwepo wake utaleta imani ya wananchi kwa tume husika , amekuwa akilipigia kelele suala la kivuko hicho ndani na nje ya bunge kwa muda mrefu .
Kwa bahati mbaya kabla hata ya kazi ya tume kushika kasi Ndugu JOSEPH MKUNDI ameamua kujiuzulu ubunge na hivyo KUPOTEZA sifa kuu ambayo ilimfanya Waziri Mkuu amteue kuwa mjumbe ndani ya kamati , na katika taarifa yake kwa vyombo vya habari pamoja na kujivua ubunge ametaja pia kujivua vyeo vyote alivyokuwa navyo awali , ninao uhakika kwamba moja ya vyeo alivyokuwa navyo ni pamoja na ujumbe wa tume hii , nashauri aondolewe.
Naomba kuwasilisha .
Angekuwa mtahiniwa tungeita anasafisha cheti.Huyo amepumzika tu ubunge kwa muda, anarudi tena muda sio mrefu ila itakuwa kwa tiketi ya CCM
Anawakilisha masaburi yako?Hamna hoja yoyote hapa zaidi ya siasa majitaka, mnamuonea wivu hadi kuwa kwenye tume tu ? Ukerewe hakuna Mbunge, yeye ndio mwakilishi mstaafu wa karibuni, je hiyo ni dhambi akiwakilisha wana Ukerewe au mnataka aje Mbowe au mwana CDM ?
haiwezi kukusaidia kwa kuwa mnachochea moto lakini kikiiva wanakuja kula hao mnaowaita nyumbuHaisaidii kitu.
Hakuna cha moto wala nini wewe bavicha mchovu.haiwezi kukusaidia kwa kuwa mnachochea moto lakini kikiiva wanakuja kula hao mnaowaita nyumbu
mimi ni bavicha mchovu, lakini nikija huko kwenu nalamba uteuzi fasta, hivyo nyie huko ndio choka mbaya au tuaweza kusema mbwa kachoka kabisaHakuna cha moto wala nini wewe bavicha mchovu.
Siwezi kushangaa hoja yako ya kibri cha namna hii. Kwani ni lazima uonyeshe ushirikiano wa kuhakikisha watanzania hawajui udhaifu wa baadhi ya vyama vya siasa hapa nchini ambavyo vipo kwa ajili ya kutafuna ruzuku badala ya kutafuta mbinu za kuwasaidia watanzania.
Katambi kawa DC huku Magonjwa mtambuka akiendelea kupiga deki Lumumba !mimi ni bavicha mchovu, lakini nikija huko kwenu nalamba uteuzi fasta, hivyo nyie huko ndio choka mbaya au tuaweza kusema mbwa kachoka kabisa
yeye aendelee tu kupiga deki, wengine wakipetaKatambi kawa DC huku Magonjwa mtambuka akiendelea kupiga deki Lumumba !