crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Namshauri Mo Dewji ashirikiane na Diamond Platnumz kuunda timu ya Wasafi Football Club.
WASAFI ni blrnd yenye nguvu sana nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Wasafi media imepata mashabiki lukuki katika kipindi kifupi tangu kuanzishwa kwake ikizipita media kongwe katika mitandao ya kijamii.
Wasafi ni brand yenye nguvu sana kuliko hata simba yenyewe.
Au mnasemaje wakuu?
WASAFI ni blrnd yenye nguvu sana nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Wasafi media imepata mashabiki lukuki katika kipindi kifupi tangu kuanzishwa kwake ikizipita media kongwe katika mitandao ya kijamii.
Wasafi ni brand yenye nguvu sana kuliko hata simba yenyewe.
Au mnasemaje wakuu?