Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,108
- 5,623
Wakuu,
Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Imeandaa Akaunti Maalumu ya Kuwachangia Wapendwa Wetu Waliokutwa na Baa la Tetemeko!
Ili Kuwapunguzia Adha ya Kulala Nje na Mahitaji Mengine,Mablanketi na Maturubai Yanaitajika!
Akaunti Namba Hiyo ni:
3181200148
Benki:
NMB
NB:
For Infos,the Mods can contact the following people:
a)The Municipal Government Officials
b)Hon. Mayor Chief Karumuna,
c)Hon. Deputy Mayor Jimmy Karugendo!
Natanguliza Shukrani!
Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Imeandaa Akaunti Maalumu ya Kuwachangia Wapendwa Wetu Waliokutwa na Baa la Tetemeko!
Ili Kuwapunguzia Adha ya Kulala Nje na Mahitaji Mengine,Mablanketi na Maturubai Yanaitajika!
Akaunti Namba Hiyo ni:
3181200148
Benki:
NMB
NB:
For Infos,the Mods can contact the following people:
a)The Municipal Government Officials
b)Hon. Mayor Chief Karumuna,
c)Hon. Deputy Mayor Jimmy Karugendo!
Natanguliza Shukrani!