johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo Zitto Kabwe kwa kumuombea " Wepesi" mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe kuhusiana na kesi ya ugaidi inayomkabili ni dhahiri Freeman Mbowe siyo Gaidi kwa sababu ACT wazalendo na CCM ndio vimeunda serikali kimantiki.
Vinginevyo itakuwa ACT wazalendo inakumbatia Ugaidi kwa sababu swala la kutaka kuwauwa viongozi wa serikali siyo dogo ukizingatia ACT ina makamu wa Rais na mawaziri wawili serikalini Zanzibar.
Ombi la Zitto Kabwe kwa Amiri jeshi mkuu linafikirisha sana!
Vinginevyo itakuwa ACT wazalendo inakumbatia Ugaidi kwa sababu swala la kutaka kuwauwa viongozi wa serikali siyo dogo ukizingatia ACT ina makamu wa Rais na mawaziri wawili serikalini Zanzibar.
Ombi la Zitto Kabwe kwa Amiri jeshi mkuu linafikirisha sana!