Ombea udharauliwe na mtu wa kabila lingine lolote lakini usidharauliwe na Mnyakyusa

Wanyakyusa kama hakupendi, atakwambia machoni pako kwamba sikupendi nakuchukia.

Wanajiamini sana

Akiamua kukudharau, utajuta kuzaliwa

Hivi mtu anaweza akakuambia kuwa wewe ni mfupi, wakati kwa uhalisia wewe ni mrefu (au the vice-versa) na wewe ukabadilika ukawa mfupi? Je, opinions za mtu juu ya urefu wako, zinaweza kuuondoa urefu huo na uka-undergo physical change na kuwa mfupi?
Dharau ni opinions za mtu juu ya mtu mwingine na ambazo haziwiani na opinions za mhusika juu yake yeye mwenyewe (wewe mwenyewe huwa unajionaje, unajifahamuje?). Topic hii ni ndefu kidogo muda hautoshi
 
Hivi mtu anaweza akakuambia kuwa wewe ni mfupi, wakati kwa uhalisia wewe ni mrefu (au the vice-versa) na wewe ukabadilika ukawa mfupi? Je, opinions za mtu juu ya urefu wako, zinaweza kuuondoa urefu huo na uka-undergo physical change na kuwa mfupi?
Dharau ni opinions za mtu juu ya mtu mwingine na ambazo haziwiani na opinions za mhusika juu yake yeye mwenyewe (wewe mwenyewe huwa unajionaje, unajifahamuje?). Topic hii ni ndefu kidogo muda hautoshi
Twende nayo taratibu, tutafika
 
Hakuna mtu hapa duniani anayeweza kukudharau Kama hujamruhusu.
Kukuogopa wanaweza
Kukuchukia wanaweza Ila kukudharau mpaka umpe ruksa wewe binafsi.
Mfano Bujibuji unaendesha Benz Mimi Sina gari, Kama sijajuomba lift, nakomaa na mwendokasi, wewe ukinywa Hennessy nakomaa na konyagi, ukiagiza kitimoto roast naagiza makongoro ya kitimoto Ila sijakuomba, umekaa bar na mwanamke mwenye chura Mimi na kiflati screen changu inch 32. Siongei na wewe na sitaki maongezi na wewe. Utaanzaje kunidharau. Sana sana utakua unaumia roho ukiona baby wangu alivyokua na amani kwa kutopenda makuu.
Bonge la point...agizia soda ila sio mirinda..ntakupa..
 
Hakuna mtu hapa duniani anayeweza kukudharau Kama hujamruhusu.
Kukuogopa wanaweza
Kukuchukia wanaweza Ila kukudharau mpaka umpe ruksa wewe binafsi.
Mfano Bujibuji unaendesha Benz Mimi Sina gari, Kama sijajuomba lift, nakomaa na mwendokasi, wewe ukinywa Hennessy nakomaa na konyagi, ukiagiza kitimoto roast naagiza makongoro ya kitimoto Ila sijakuomba, umekaa bar na mwanamke mwenye chura Mimi na kiflati screen changu inch 32. Siongei na wewe na sitaki maongezi na wewe. Utaanzaje kunidharau. Sana sana utakua unaumia roho ukiona baby wangu alivyokua na amani kwa kutopenda makuu.
Bonge la point la kiutu uzima
 
Back
Top Bottom