stranger man
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 420
- 524
mkuu nilichokifanya ni kutafuta wakala wa tigo pesa, M Pessa, Airel Money, Mashine ya Maz Malipo,Tigo Rusha Pamoja na vifaa vya umeme vichache kama vile socket, Taa, Extensio! kwa mfano Mpessa, Tigo inanipa faida ya 300- 5000, Tigo rusha 1400- 2600, nikiuza taa moja napata 1100, umeme 2000, ambapo minimum nafikisha laki 250,000 kwa mwezi nikitoa gharama za uendeshaji fremu 60,000,na umeme 15,000 pamoja na Malipo ya mshahara kwa mwezi ni 60,000 na chakula + nauli natoa 40,000 kwa mwezi ambapo jumla ya gharama za uendeshaji ni 175,000! nabali na 75,000!Biashara gani hiyo kwa kipindi hichi cha Magu ku-break even mapema hivyo!!!.....Hongera sana
kwa mwanzo sio mbaya wakuu