Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Yawezekana ni mmoja wa waliongia kwenye kitanzi cha maisha ya ndoa takatifuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
yenye shida na raha ndani yake la hasha pole sana ..yawezekana na wewe nn mmoja wale walio kwenye search ingine ama ggogle za ndoa..du uko na tumaini pia
Leo hii naomba niwajulishe wengi wanaishia kuumia kwenye ndoa sababu awajui sababu ya kuoa ama kuolewa..wengi tukiulizwa umeoa kwa nini..ooh nilimpenda sana alafu mweupe wewe umeambiwa kuna mweupe zaidi ya seru seru/mzungu
oohhh ana figa nzuri nani kakwambia bana nenda utembee uone mungu alivyojituma kutengeneza figa za watu bahati mbaya ibilisi anazitumia kwa kutojua kusudio la Mungu
OOHHHH nilimpenda sana ameokoka wewe kaka pole sana kuna wanwake wazuri wameokoka kuliko nkeo na wanatabia njema zaidi yake umewaacha embu tueleze nini umemfwata huyo umewaacha rose,merry,shao,nkwemanga,sara,,,
Ukiwa naomba jua jinsi ya kuomba usiombe kama unajisaidia chooni ili mradi umalize haraka urudi kwenye computer..ndugu nakupa siri
oooooombaa Kusudi la MUNGU kwenye Ndoa yakoo Mungu alitimize@@@@
Wengi wao wameoan sababu ya elimu majumba ooh mama alimpenda baba akanletea wewe unalaana unaletewa mke na mamayako ...babako aliletewa...unajua kuachana kuna src nyingisana wengine wanaoa bila kufanya maping ..jifunze kufanya maping hata kama unakuta umeoa zigo kwenye familia..kuna jinsi ya kujivua..mnajikata kitovu cha ukoo wenu..mnaingia kwenye familia ya BWANA YESU mnakuwa huru mnaachana na laana za kisukari.tb,moyo.na magonjwa yoote ya misri...angalia vyema hata wazee wetu waliofariki na ngoma watoto wao ni moto wa kuotea mbali...awakamatiki kama BABU WA LOLIONDO
so yawezekana nawe leo uko kwenye google search ya ndoa pole sana usijali wangapi wamekuacha kusudio la mungu alikuw juu yao nakupa somo moja nilimshauri kaka mmoja alielia kwa kuachika na mpenzie aliempenda
yenye shida na raha ndani yake la hasha pole sana ..yawezekana na wewe nn mmoja wale walio kwenye search ingine ama ggogle za ndoa..du uko na tumaini pia
Leo hii naomba niwajulishe wengi wanaishia kuumia kwenye ndoa sababu awajui sababu ya kuoa ama kuolewa..wengi tukiulizwa umeoa kwa nini..ooh nilimpenda sana alafu mweupe wewe umeambiwa kuna mweupe zaidi ya seru seru/mzungu
oohhh ana figa nzuri nani kakwambia bana nenda utembee uone mungu alivyojituma kutengeneza figa za watu bahati mbaya ibilisi anazitumia kwa kutojua kusudio la Mungu
OOHHHH nilimpenda sana ameokoka wewe kaka pole sana kuna wanwake wazuri wameokoka kuliko nkeo na wanatabia njema zaidi yake umewaacha embu tueleze nini umemfwata huyo umewaacha rose,merry,shao,nkwemanga,sara,,,
Ukiwa naomba jua jinsi ya kuomba usiombe kama unajisaidia chooni ili mradi umalize haraka urudi kwenye computer..ndugu nakupa siri
oooooombaa Kusudi la MUNGU kwenye Ndoa yakoo Mungu alitimize@@@@
Wengi wao wameoan sababu ya elimu majumba ooh mama alimpenda baba akanletea wewe unalaana unaletewa mke na mamayako ...babako aliletewa...unajua kuachana kuna src nyingisana wengine wanaoa bila kufanya maping ..jifunze kufanya maping hata kama unakuta umeoa zigo kwenye familia..kuna jinsi ya kujivua..mnajikata kitovu cha ukoo wenu..mnaingia kwenye familia ya BWANA YESU mnakuwa huru mnaachana na laana za kisukari.tb,moyo.na magonjwa yoote ya misri...angalia vyema hata wazee wetu waliofariki na ngoma watoto wao ni moto wa kuotea mbali...awakamatiki kama BABU WA LOLIONDO
so yawezekana nawe leo uko kwenye google search ya ndoa pole sana usijali wangapi wamekuacha kusudio la mungu alikuw juu yao nakupa somo moja nilimshauri kaka mmoja alielia kwa kuachika na mpenzie aliempenda