Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
Kimbau huna lolote mafia hawakutaki unathubutu kubeba mashoga akina anti K kuwapeleka kufanya ufirauni mafia!!!
Oil chafu
Nimekuwa nikijiuliza sana haya maswali.....
Na ubaya unakuja mara baada ya kukataliwa ndio wale wabaya si watu wazuri na kadhaa wa kadhaa..
Kiboko ya mchwa aka maccmOil chafu
ID zingine ni vichekesho!usimchanganye na baba yake Ayubu Kimbau ndio alikua Mbunge wa Mafia.Kimbau nae anafuata mkumbo kama nyumbu..watu walishamkataa miaka kumi leo anataka kurudi tena
Oil chafu
Mashujaa ni Bulaya na Lembeli tu.
Hawa wengine wanaokimbia huko ccm baada ya kukatwa ni njaa tu ndio zinazowakimbiza.