Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Pinda na Nundu waende Lamu kujifunza?? thubutu
Ingekuwa safari ya kwenda Uholanzi kuangalia Land areclamation scheme wangeenda fasta japokuwa haina uhusiano wowote na maendeleo ya Tanzania. Bandari ya Dsm congestion, wizi, innefficiency ya hali juu hapo bandarini ukiachilia rushwa na uzembe.
Mungu ibariki Tanza-near
Ingekuwa safari ya kwenda Uholanzi kuangalia Land areclamation scheme wangeenda fasta japokuwa haina uhusiano wowote na maendeleo ya Tanzania. Bandari ya Dsm congestion, wizi, innefficiency ya hali juu hapo bandarini ukiachilia rushwa na uzembe.
Mungu ibariki Tanza-near