Mkuu niliwahi kuambiwa kuwa ukitaka kufanikiwa kirahisi angalia na wenzako wanafanyaje kitu gani hii itakusaidia kuokoa muda wa kufikiria saaaaaaaaaana kumbe solution ipo miaka 100 iliyopita. Nimeangalia kwa macho yangu leo mchana kupitia CITIZEN TV wakenya wamezindua rasmi ujenzi wa reli hiyo. Pia usisahau wanamalizia uwanja wa ndege wa kimataifa hapo nyuma ya mlima wetu Kilimanjaro sisi ndio kwanza tunaziba viraka kwenye viwanja vyetu na kusaini makabrasha then tunayatia kapuni baada ya kulipwa posho za sherehe ya kusaini. Mwanza airport iko hoi utadhani Mwanza iko Sudani ila ukiwauliza Precision watakwambia hakuna route yenye pesa kama Mwanzai did not see lamu project... just talking,,,
hii topic haifai hapa!!!
Cha ajbu wake ECO-IMPERIALISTS kutoka Kenya (WWF& CO) waliopinga tusijenge barabara Serengeti wako kimya juu ya huu mradi kwa sababu una manufaa kwa kenya
Tazama from 10:30
si usewe huo uharibifu ni nini au tupe link inayoelezea huo uharibifu? kuliko sisi na ngonjera zetu mara kuwait fund, mara mbia, mara recession, umeme ulikosekana tukashindwa kutia saini, mara upembuzi yakinifu, mchakato , na ngojera ya kuwa mradi mkubwa kusini mwa afrika na watu watakuja kuangalia (utali wa ndani)Sisi wabongo ni watu wa ajabu sana, tumeshabikia humu ndani kupinga ujenzi wa Serengeti highway na sasa watu kila kona eti wanashabikia ujenzi wa Lamu port utafikiri itawasaidia nini. Watu wengi humu ndani hawatambui kuwa uharibifu wa mazingira wa Lamu port ni mkubwa kuliko ule wa kusadikika wa Serengeti highway.. Wake-up WaTanzannia...bao la kisigino hilo...:A S-coffee:
MZEEE sio bao la kisigino tu bali la masafa marefu wakati wenzetu walipokuwa wanafanya HARAMBEEE kuchangia wtoto wao kwenda KUSOMA HATA NJE YA NCHI sisi tuliendelea na KAMATI ZA SHEREHE ZA HARUSI;VIPAIMARA;MAULID;KOMUNYO;BESIDEI na mengine mengi. Ukiomba uchangiwe au hata KUKOPESHWA kupeleka mtoto shule unakuwa KITUKO;KEJELI naKICHEKO mtaani. Bado tutafungwa mabao mengi ngoja EAC ikomae tutaona.Sisi wabongo ni watu wa ajabu sana, tumeshabikia humu ndani kupinga ujenzi wa Serengeti highway na sasa watu kila kona eti wanashabikia ujenzi wa Lamu port utafikiri itawasaidia nini. Watu wengi humu ndani hawatambui kuwa uharibifu wa mazingira wa Lamu port ni mkubwa kuliko ule wa kusadikika wa Serengeti highway.. Wake-up WaTanzannia...bao la kisigino hilo...:A S-coffee:
Sisi wabongo ni watu wa ajabu sana, tumeshabikia humu ndani kupinga ujenzi wa Serengeti highway na sasa watu kila kona eti wanashabikia ujenzi wa Lamu port utafikiri itawasaidia nini. Watu wengi humu ndani hawatambui kuwa uharibifu wa mazingira wa Lamu port ni mkubwa kuliko ule wa kusadikika wa Serengeti highway.. Wake-up WaTanzannia...bao la kisigino hilo...:A S-coffee: