Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Mfutakamba kesho Naye anaita press conference kukanusha tuhuma za Nundu! Wonders shall never end
Alichosema Nundu ni aibu katika mfumo wa utendaji kazi serikalini. He has to go. Ila kama Mfutakamba naye akianza kushindana naye, hatutaona tofauti kati yao, bali anatakiwa kuwa na busara zaidi.