Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu

nundu hana usafi wakutowajibika, kwan serkal anayoitumikia inatosha kumweka hatiani mbele ya watanzania serkal ya chama chake imelisababishia taifa matatizo makubwa, pia lazma akumbuke wakati akigonga meza kupitisha hoja zenye madudu ndani yake yanayolitafuna taifa kuwafanya watanzania kuwa wanyonge na wenye dhiki katka taifa lao lenye kila aina ya rasilimali, ajue kila mtanzania anayeshnda njaa,kila mtoto anayekosa fursa yakusoma wengne hawana madawati,wanawake wanaokufa wakati wakujifungua kwa kukosha huduma muhmu,wanafunzi wa vyuo wanateseka kwakukosa mkopo natmambo mengne meng hana usafi na uhalali wakutowajibka.
 
Hii ni aibu sana kwa nchi yetu. Kama Naibu Waziri ni mchafu, Katibu Mkuu wake mchafu, Bodi yote ya TPA wachafu, Menejimenti ya TPA wachafu, watendaji wa Wizara yake wachafu, Waziri Kawambwa aliyemtangulia mchafu, Wizara ya fedha wote wachafu akiwamo Waziri na watendaji wote na kwa maneno yake kwamba Ikulu inahusika na safari za Naibu nako kuchafu!!! Sasa anafanya nini humo serikalini yeye msafi? Aliyevunja mkataba wa ujenzi wa Car Park!! Aliyeingia MoU wakati tayari toka 2008 whole gove imo ktk mchakato? Kwa taarifa yake Bodi ilishatoa maelekezo kwa TPA kutafuta independent consultant kuhakiki bei ya ujenzi kabla ya mradi kuanza lakini si kusitisha na kuanza kutafuta wawekezaji wapya, na mradi kuchelewa tena kwa 5years.

Mchakato kama huu wa Gati 13 na 14 ndio uliojenga Uwanja wa Taifa na Uwanja wa Ndege wa Znzbar... Nundu anataka PPPA ambayo ni kati ya 30-50 years na yeye alisaini 45yers MoU. Kama wenzake walikosea, angewasilisha hoja serikalini waliohusika wachukuliwe hatua na mradi uendelee kwa maslahi ya Taifa si kupinga kila kitu alichofanya Kawambwa, kama wana bifu zao wakamalize kwa JK ambaye wote ni watu wake. More and docs to come.
 
2. Baada ya kuona waziri anawakwamisha CCC wakaamua kuyapitishia madudu yao kwa Naibu waziri. wakampa paid trips kutembelea miradi mbalimbali ya CCC duniani pote, Naibu waziri yeye hana bei, akaingia kichwa kichwa kuwa kuwadi wao. Alianza kupigwa trips za nje ya nchi bila kibali cha waziri wake, kwa lugha nyingine ni uwezekano wa Ikulu kuhusika kwa Naibu Waziri huyo kusafiri nje ya nchi bila waziri kujua. Mazingira ya safari hizo za naibu waziri zina viashiria vyote vya rushwa ya "free bees" under pretex ya "facility visit" under transparency lazima Naibu Waziri aseme amelipwa shin ngapi amesafirishwa tiketi za ndege za daraja gani na alifikia hoteli za nyota ngapi?.

Wachini huwa hawasafiri 1st Class, hawalipani per diem nono wala hawakai hoteli ya nyota 5!, ila makampuni yamayo sololea tenda, huwalipa maofisa wa nchi per diem nene, kuwasafirisha kwa 1st class na kuwalaza hoteli za nyota 5!.

Pasco mbona unawatetea sana wezi na wabadirifu wa mali ya umma wanakupa nini kaka?
Waandishi kama nyie ambao hamko objective ni tatizo kwa tanzania tuitakayo
 
Hii ni aibu sana kwa nchi yetu. Kama Naibu Waziri ni mchafu, Katibu Mkuu wake mchafu, Bodi yote ya TPA wachafu, Menejimenti ya TPA wachafu, watendaji wa Wizara yake wachafu, Waziri Kawambwa aliyemtangulia mchafu, Wizara ya fedha wote wachafu akiwamo Waziri na watendaji wote na kwa maneno yake kwamba Ikulu inahusika na safari za Naibu nako kuchafu!!! Sasa anafanya nini humo serikalini yeye msafi? Aliyevunja mkataba wa ujenzi wa Car Park!! Aliyeingia MoU wakati tayari toka 2008 whole gove imo ktk mchakato? Kwa taarifa yake Bodi ilishatoa maelekezo kwa TPA kutafuta independent consultant kuhakiki bei ya ujenzi kabla ya mradi kuanza lakini si kusitisha na kuanza kutafuta wawekezaji wapya, na mradi kuchelewa tena kwa 5years.

Mchakato kama huu wa Gati 13 na 14 ndio uliojenga Uwanja wa Taifa na Uwanja wa Ndege wa Znzbar... Nundu anataka PPPA ambayo ni kati ya 30-50 years na yeye alisaini 45yers MoU. Kama wenzake walikosea, angewasilisha hoja serikalini waliohusika wachukuliwe hatua na mradi uendelee kwa maslahi ya Taifa si kupinga kila kitu alichofanya Kawambwa, kama wana bifu zao wakamalize kwa JK ambaye wote ni watu wake. More and docs to come.
Kama tayari mradi una madudu sio wa maslahi ya Taifa kama usemavyo, mlungula wa karibu $400mil sio mzaha kwa nchi maskini kama yetu, nibora mradi uanze upya kabisa kama kuna ukweli, kama hakuna ukweli anapaswa kuwajibika, lakini nashawishika kwamba kuna ukweli maana hata ikulu ameitaja kitu kinachofanya hoja yake kuwa na nguvu na woga unaonekana upo pembeni.
 
Kama tayari mradi una madudu sio wa maslahi ya Taifa kama usemavyo, mlungula wa karibu $400mil sio mzaha kwa nchi maskini kama yetu, nibora mradi uanze upya kabisa kama kuna ukweli, kama hakuna ukweli anapaswa kuwajibika, lakini nashawishika kwamba kuna ukweli maana hata ikulu ameitaja kitu kinachofanya hoja yake kuwa na nguvu na woga unaonekana upo pembeni.

Kwanza NUndu hakusema na hawezi kusema Ikulu inamlinda Naibu Waziri, maana anajua yeye anavyosingizia alienda China na mtu wa karibu na Ikulu, akijua anayosema ni uongo. Nundu si msafi na ni mbabaishaji, anapambana kuhalalisha alichofuata China na kwingineko. Anashindwa kutema. Mtu wake wa karibu last week alifuata waandishi wa habari na kusema, "Nundu ana fedha kama takataka, hata mshahara wake wa uwaziri na ubunge hachukui anapeleka jimboni, msaidieni atawatoa"... Unategemea mtu safi atafanya hayo? Angalia kwa makini, alienda kwenye kamati mikono mitupu na laptop yake, leo anatoa docs baada ya mambo kuzidi unga, alikua wapi? Anatukana watu, wabunge na hataa waandishi, magazeti serious anayaita magazeti uchwara!!! Mwanasiasa makini hata akionewa hawezi kutoa maneno hayo.. Kwa ufupi Nundu ni mzigo, na kule kwetu Tanga tuna usemi "Mdigo mzigo"... Watanisamehe watani zangu!! Suala la mlungula wa Usd 400m halipo hapa maana hizo ni fedha zinazoingia kwenye mfumo na kama kuna ulaji, waliokula tayari wanazo mfukoni na wanachofanya sasa ni kupigia debe kama anavyofanya Nundu, anabaki peke yake.
 
3. Government guarantee hutolewa pale tuu ambapo waziri husika ameridhika na mradi husika shirika husika lipate mkopo, hiyo gvt guarantee ya mkopo kutoka China aliuomba nani?. Ninayo taarifa kuwa Tido akiwa TBC aliomba kupata gvt guarantee ili kukopa fedha kumalizia majengo ya TBC yaliyosimama muda mrefu kama magofu, mpaka anaondoka TBC, hakuna hiyo goverment guarantee iliyopatikana, leo vipi MOF wawe kimbelembele kutoa hiyo guatantee ya TPA fasta fasta bila kupitia kwa waziri husika?!.

Haya ya TPA ni madudu kuliko hata ya Richmond!.
Paskali
 
WAKATI Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajia kutoa tamko la kujiuzulu kwa mawaziri kadhaa, siri nzito zimeanza kufichuka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu kumtupia kombora naibu wake, Mhandisi Athuman Mfutakamba.



Waziri Nundu, alimtuhumu hadharani naibu wake, kwa kile alichodai amekuwa akisafirishwa nje ya nchi na Kampuni ya Kichina ya China Construction Company (CCC) na kumpeleka sehemu mbalimbali kwa gharama zao, ikiwamo China na Equatorial Guinea na Mauritius.



Alisema kibaya zaidi, Mfutakamba amekuwa akiondoka bila kupata kibali kutoka kwake.
Akizungumza na wandishi wa habari mjini hapa leo, Waziri Nundu alisema ameamua kuweka bayana nini kiini cha matatizo ambayo anatuhumiwa kukiuka taratibu za kiutendaji.



Alisema bodi na viongozi wakuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wakiungwa mkono na Mfutakamba, Katibu Mkuu, Omar Chambo na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kwa pamoja, wamemkalia kooni ili aachie ngazi, bila kujua chanzo ni nini.
 
3. Government guarantee hutolewa pale tuu ambapo waziri husika ameridhika na mradi husika shirika husika lipate mkopo, hiyo gvt guatantee ya mkopo kutoka China aliuomba nani?. Niyayo taarifa Tido akiwa TBC aliomba gvt guarantee ili kukopa fedha kumalizia majengo ya TBC mpaka anaondoka hakuna hiyo guaranteeleo vipi MOF wawe kimbelembele kutoa hiyo guatantee ya TPA fasta fasta bila kupitia kwa waziri husika!.

Haya ya TPA ni madudu kuliko hata ya Richmond!.

Sheria haisemi mpaka Nundu aridhie, sheria inasema Wizara husika, na kama huna taarifa ni kwamba Waziri aliyemtangulia, Dk. Kawambwa alishiriki, wizara yake hata juzi imeshiriki, sasa unachoita kimbelembele kwanza ni lugha ya kishabiki. Let's use facts, and doccuments. Soon nazimwaga hapa, na Nundu kama yuko hapa JF ama mwakilishi wake ajibu.
 
Ana matatizo mengine kabisa ambayo nina uhakika hakuzungumzia. Je amezungumzia dhulma aliyotaka kuifanya KIA? _
 
Wee Nundu vipi!!
kwani hukujua siasa za nchi maskini ni Fitna kwa kwenda mbele?
 
WAKATI Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajia kutoa tamko la kujiuzulu kwa mawaziri kadhaa, siri nzito zimeanza kufichuka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu kumtupia kombora naibu wake, Mhandisi Athuman Mfutakamba.



Waziri Nundu, alimtuhumu hadharani naibu wake, kwa kile alichodai amekuwa akisafirishwa nje ya nchi na Kampuni ya Kichina ya China Construction Company (CCC) na kumpeleka sehemu mbalimbali kwa gharama zao, ikiwamo China na Equatorial Guinea na Mauritius.



Alisema kibaya zaidi, Mfutakamba amekuwa akiondoka bila kupata kibali kutoka kwake.
Akizungumza na wandishi wa habari mjini hapa jana, Waziri Nundu alisema ameamua kuweka bayana nini kiini cha matatizo ambayo anatuhumiwa kukiuka taratibu za kiutendaji.



Alisema bodi na viongozi wakuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wakiungwa mkono na Mfutakamba, Katibu Mkuu, Omar Chambo na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kwa pamoja, wamemkalia kooni ili aachie ngazi, bila kujua chanzo ni nini.

Ww kama bosi wake, kwa nn hukuchukua hatua zozote hadi mambo yanafikia hatua hii? lazima nyote muwajibike...........
 
WAKATI Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajia kutoa tamko la kujiuzulu kwa mawaziri kadhaa, siri nzito zimeanza kufichuka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu kumtupia kombora naibu wake, Mhandisi Athuman Mfutakamba.Waziri Nundu, alimtuhumu hadharani naibu wake, kwa kile alichodai amekuwa akisafirishwa nje ya nchi na Kampuni ya Kichina ya China Construction Company (CCC) na kumpeleka sehemu mbalimbali kwa gharama zao, ikiwamo China na Equatorial Guinea na Mauritius.Alisema kibaya zaidi, Mfutakamba amekuwa akiondoka bila kupata kibali kutoka kwake.Akizungumza na wandishi wa habari mjini hapa jana, Waziri Nundu alisema ameamua kuweka bayana nini kiini cha matatizo ambayo anatuhumiwa kukiuka taratibu za kiutendaji.
Alisema bodi na viongozi wakuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wakiungwa mkono na Mfutakamba, Katibu Mkuu, Omar Chambo na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kwa pamoja, wamemkalia kooni ili aachie ngazi, bila kujua chanzo ni nini.


Tunamshukuru Allah wote ni walewale,vinginevyo hadithi ingalikuwa nyengine hapa yarabi!Jakaya weye waokoe hawa
 
Hata kama anamsema Naibu wake vibaya ambae ni sub-ordinate kwake hatujali aachie ofisi hiyo stupid fool
 
Ni kweli hapa madudu ni kuliko Richmond maana Waziri anaingilia TPA kama walivyofanya wenzake kuingilia Tanesco!!! Hahaaa!! Richmond kumbe ilikua mbaya Pasco?!! I like that!!! Hawakuonewa kumbeeee!!!
 
Back
Top Bottom