OMAR LAMBI amefariki

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835


Asalaam alykum,

Ndugu zangu, kwa huzuni nawapa taarifa kuwa ndugu yetu,kaka yetu na mwenzetu Omari Lambi alifariki jana hapa London katika hospitali ya university College Hospital -Euston kutona na cancer ya kichwa "Nasopharyngeal Carlinoma" .

Omary_Lambi2.jpg

mipango ya mazishi inafanywa, punde mipango itakapokamilika tutawatangazia.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na:

Almas Kassongo 079830 73526.
Adam Mgoyi 07817290269.
Mhando 00447863138725.

mazishi ya ndg yetu Bw. Omari Lambi yatafanyika leo kwenye makaburi yaliyopo; Gardens of Peace,Elmbridge Road, Hainault, Ilford, Essex, IG6 3SW.


Kituo cha Treni cha Karibu ni Hainault Station, Central Line.



Wanaume wanaombwa kwenda makaburini moja kwa moja ambako pia ndipo atakaposwaliwa marehemu.

Wanawake watakuwa na kisomo kitakachofanyika kuanzia saa 5 Asubuhi; 266-268 High Street North, Manor Park, London, E12 6SB.

Taarifa hii Imetolewa na kamati ya Msiba



Akiwa hapa Uingereza, Marehemu alikuwa na Master ya Strategic Management na mwezi wa tisa mwaka huu alikuwa yupo mbioni kuchukua PHD.


Wakati wa uhai wake alikuwa ni kiongozi wa mfano na aliyejitolea muda wake kwa ajilio ya kufanikisha masuala mbalinmbali yenye faida kwa Watanzania wenzake na Taifa kwa ujumla.


Wana JF tumemempoteza mwanachama mTanzania mzalendo ambae alikuwa na mchango mkubwa kwenye kwenye mijadala mbali mbali humu ndani.

Ili kufanikisha mazishi ya marehemu, tunaomba michango yenu ya hali na mali, kwa kuweka michango katika akaunti:

Account No: 13258960
Sort Code: 30-84-12
Jina/Name: Mr. Said S. Surur
Bank: Lloyds TSB

Wabillahi Taufiq


Innaa Lilahi wa Inna Illahi Raajuun
 


Asalaam alykum,

Ndugu zangu, kwa huzuni nawapa taarifa kuwa ndugu yetu,kaka yetu na mwenzetu Omari Lambi alifariki jana hapa London na inshaalah taarifa za msiba tutawaletea kadri muda unavyozidi kwenda


mipango ya mazishi inafanywa, punde mipango itakapokamilika tutawatangazia.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na:

Almas Kassongo 079830 73526.
Adam Mgoyi 07817290269.
Mhando 00447863138725.

Wabillahi Taufiq


Innaa Lilahi wa Inna Illahi Raajuun

Innaa Lilahi wa Inna Illahi Raajuun.
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN
 


Asalaam alykum,

Ndugu zangu, kwa huzuni nawapa taarifa kuwa ndugu yetu,kaka yetu na mwenzetu Omari Lambi alifariki jana hapa London na inshaalah taarifa za msiba tutawaletea kadri muda unavyozidi kwenda


mipango ya mazishi inafanywa, punde mipango itakapokamilika tutawatangazia.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na:

Almas Kassongo 079830 73526.
Adam Mgoyi 07817290269.
Mhando 00447863138725.

Wabillahi Taufiq


Innaa Lilahi wa Inna Illahi Raajuun

Waaleikum salaam yaa GT
INNALILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUG'UN
Jazaakallah kheir kwa taarifa

ALLAH ajaalie kuwa ni ukumbusho wa kujiandaa na hiyo safari kwa tuliobaki,tuombe msamaha kwa ALLAH na kufuatiza mema.
 
Man who is born of a woman is few of days and full of trouble.
He comes out like a flower and withers.
Poleni wafiwa
 


Asalaam alykum,

Ndugu zangu, kwa huzuni nawapa taarifa kuwa ndugu yetu,kaka yetu na mwenzetu Omari Lambi alifariki jana hapa London na inshaalah taarifa za msiba tutawaletea kadri muda unavyozidi kwenda


mipango ya mazishi inafanywa, punde mipango itakapokamilika tutawatangazia.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na:

Almas Kassongo 079830 73526.
Adam Mgoyi 07817290269.
Mhando 00447863138725.

Wabillahi Taufiq


Innaa Lilahi wa Inna Illahi Raajuun

BWANA ALITOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBALIKIWE
 
Poleni ndugu zetu kwa msiba huo. Mungu awafarije wakati huu wa majonzi na awe kwenu mwanga na nuru wakati huu giza.

M.M.
 
Nilitaka kuwafahamisha kuwa marehemu pamoja na mambo mengine alikuwa ni ACTIVE member wa JF

jamani mwenye uwezo basi napenda kuwafahamisha kuwa mazishi yako kule GARDEN OF PEACE kule HAINAULT

Ilford, Essex, IG6 3SW. Kituo cha Treni cha Karibu ni Hainault Station, Central Line. Wanaume wanaombwa kwenda makaburini moja kwa moja ambako pia ndipo atakaposwaliwa marehemu.

Wanawake watakuwa na kisomo kitakachofanyika kuanzia saa 5 Asubuhi; 266-268 High Street North, Manor Park, London, E12 6SB.

WABILLAHI TAUFIQ
 
Asalaam Alykum

Taarifa ni kuwa alhamdullihal tumemzika kaka yetu Omari Lambi na inshaalah kutakuwa na KHITMA siku ya juma pili saa nane mchan ILFORD, EAST LONDON

Address kamili nitawapa punde nitakapopewa

zaidi ya hayo kwa niaba ya wafiwa tunatoa shukrani za dhati kwa wote ambao walijumuika kwa namna moja au nyingike katika kipindi cha ujonjwa mpaka alipotutoka ndugu yetu

Michango bado inaendelea na zaidi ya hayo tunaombwa tuzidi kumuombea marehemu duah halikadhalika na sisi tuombeane duah inli Mwenyezi Mungu amfanyie weepesi na sisi vile vile ambao wote tuko safarini

taarifa za address ya pale kwenye Khitma nitawapa baadae inshaalah au kama kutakuwa na mtu mwenye address ya pale ilford basi nashauri aipost.


wabillahi taufiq
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom