assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
KATIKA HALI ISIYOTARAJIWA mwenyekiti alimteua mwakilishi wa walimu katika bunge la katba kwenda kuwakilisha msibani kwa mh sofia simba. wakati akiteuliwa wajumbe walipiga kelele ikionekana alikuwa mwiba kwa kanuni ambazo hazikuwa sawa na hivyo kuteuliwa kwake kukasisimua bunge kwa kujua kuwa watakosa mchango wake kwa vikao vya leo.