TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Chama cha United Democratic (UDP) kupitia kwa Kaimu Katibu Mkuu, Goodluck Olemedeye kimeanza kampeni ya kimyakimya kusaka wanachama inayoonekana kama kufuatilia nyendo za CHADEMA kwenye Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.