Ole wenu wizara ya utumishi kuhusu kazi za nida

KASRI

Member
May 2, 2009
93
22
ZILITANGAZWA KAZI ZA "NIDA" (National Identification Authority) KUPITIA SECRETARIAT ILIYOPO WIZARA YA UTUMISHI.

KWA KUTAKA KUJUA KAMA KWELI HAWA JAMAA WAPO "FAIR", NIMETUMA BARUA IKIWA NA KITU CHA AJABU AMBACHO NAAMINI LAZIMA WANIITE KWA MAHOJIANO KUHUSU HICHO KITU AU KUNIAJIRI. WASIPOFANYA HIVYO NITAENDELEA KUAMINI KUWA HAWAJAFUNGUA BARUA ZOTE ZILIZOTUMWA HAPO.

NIMEOMBA KAZI MOJA WAPO NIKIAMINI SIFA ZOTE NINAZO KUHUSU HIYO KAZI.

NAWASIKILIZIA NYIE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT (PSRS) KUPIMA UADILIFU WENU.

NAWASILISHA:A S-alert1:
 
imekula kwako, barua zenye vitu vya ajabu tuliziacha pale pale getini, nenda kwa wauza samaki kahakikishe kama bado hawajafungia uduvi.
 
Kama unazo sifa zote watakuita tu. mbona wenzio tumepitia huko na sasa tupo kwa kazi?
 
Kama mliifungua msingeweza kuiacha hapo getini, lazima mngenitafuta kwa wema au ubaya.
Nasisitiza ilikuwa na kitu cha ajabu, mtu hawezi kukaa kimya.
imekula kwako, barua zenye vitu vya ajabu tuliziacha pale pale getini, nenda kwa wauza samaki kahakikishe kama bado hawajafungia uduvi.
 
Kama wanakuita, si wanakuita kwenye interview tu? Ambapo lazima UFAULU hiyo interview.
Ukishindwa interview hata kama umewazidi wengine vigezo unapigwa chini.
 
Kama wanakuita, si wanakuita kwenye interview tu? Ambapo lazima UFAULU hiyo interview.
Ukishindwa interview hata kama umewazidi wengine vigezo unapigwa chini.

Issue ni nasikilizia kama wataniita. Kuhusu kuajiriwa au kutoajiriwa siliongelei kwa sasa maana natambua uwepo wa wengi wenye vigezo hata zaidi ya vyangu.
Nisipoitwa nitaomba hiyo ofisi wawe wakweli na waaminifu/waadilifu kwenye utendaji wao.
Nafahamu mashirika mengi yanatangaza kazi huku tayari kuna watu wameandaliwa, hivyo kwa PSRS sitegemei na haitakaa vizuri kama nao watafanya hivyo.
 
ebwana m2 wangu wakikuita u2ambie na kwny barua umeweka nini ili na cc 2jue mana wanazan photocopy ulizokuwa unatoa ulitoa bure wewe wakikuita 2ambie ili cjue na cc 2fanye hvyo hvyo
 
ZILITANGAZWA KAZI ZA "NIDA" (National Identification Authority) KUPITIA SECRETARIAT ILIYOPO WIZARA YA UTUMISHI.

KWA KUTAKA KUJUA KAMA KWELI HAWA JAMAA WAPO "FAIR", NIMETUMA BARUA IKIWA NA KITU CHA AJABU AMBACHO NAAMINI LAZIMA WANIITE KWA MAHOJIANO KUHUSU HICHO KITU AU KUNIAJIRI. WASIPOFANYA HIVYO NITAENDELEA KUAMINI KUWA HAWAJAFUNGUA BARUA ZOTE ZILIZOTUMWA HAPO.

NIMEOMBA KAZI MOJA WAPO NIKIAMINI SIFA ZOTE NINAZO KUHUSU HIYO KAZI.

NAWASIKILIZIA NYIE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT (PSRS) KUPIMA UADILIFU WENU.

NAWASILISHA:A S-alert1:
bwahahaha wamesha ajili mkuu....i know personally some dudes wamechukua utumwa pale....mbona long time arifu
 
Kasri, pole sana, unapoandika barua yenye highly convincing points that you know what they really want and your the right man for the job, hiyo pekee ni disqualification maana tayari umeshaonekana tishio sio kwa wale waliotayatishiwa hiyo post uliyo omba bali vilaza waliojipanga top to bottom, left right and center!.
 
Kasri, pole sana, unapoandika barua yenye highly convincing points that you know what they really want and your the right man for the job, hiyo pekee ni disqualification maana tayari umeshaonekana tishio sio kwa wale waliotayatishiwa hiyo post uliyo omba bali vilaza waliojipanga top to bottom, left right and center!.


NOOO Pasco;
My letter ipo soooooo simple, certificates with pass GPAs, experience three years only.
So haitawatishia hao unaowaita vilaza. Being kilaza or not, akiifungua tu barua yangu lazima anitafute. Kazi kwao.

BUT how come ofisi/taasisi/secretariat imeanzishwa mpya alafu iwe na vilaza?
Nilidhani kwenye ofisi za zamani ndio kuna wa aina hiyo ambao hawang'oleki, wengine wameshastaafu kimsingi lakini bado wanajiona vijana.
Sitegemei serikali yangu tukufu iajiri wazee tena vilaza kwenye ofisi kama PSRS, NIDA na nyingine za hivi karibuni.
 
Kasri, pole sana, unapoandika barua yenye highly convincing points that you know what they really want and your the right man for the job, hiyo pekee ni disqualification maana tayari umeshaonekana tishio sio kwa wale waliotayatishiwa hiyo post uliyo omba bali vilaza waliojipanga top to bottom, left right and center!.

Kaka nakubali wewe ni mkali. Umeona mbali sana. Mimi nilishapigwa chini pale TIC kwa mzee Ole Naiko kwa kuwa nilikuwa tishio kwa vilaza kadhaa
 
NOOO Pasco;
My letter ipo soooooo simple, certificates with pass GPAs, experience three years only.
So haitawatishia hao unaowaita vilaza. Being kilaza or not, akiifungua tu barua yangu lazima anitafute. Kazi kwao.

BUT how come ofisi/taasisi/secretariat imeanzishwa mpya alafu iwe na vilaza?
Nilidhani kwenye ofisi za zamani ndio kuna wa aina hiyo ambao hawang'oleki, wengine wameshastaafu kimsingi lakini bado wanajiona vijana.
Sitegemei serikali yangu tukufu iajiri wazee tena vilaza kwenye ofisi kama PSRS, NIDA na nyingine za hivi karibuni.
Mimi nitachukua tahadhari sana na wewe esp unavyopublish ur own expertise and expectations kabla hujawa even longlisted..let alone shortlisted..remeber interview is the 'decider'
Nimeajiri weeengi lakini kigezo si GPA as mosts aren't capable of delivering their outputs as opposed to their colourful 'gambas'
Beware..don't have too much expectations and also conditions!

Mhandisi
 
NOOO Pasco;
My letter ipo soooooo simple, certificates with pass GPAs, experience three years only.
So haitawatishia hao unaowaita vilaza. Being kilaza or not, akiifungua tu barua yangu lazima anitafute. Kazi kwao.

BUT how come ofisi/taasisi/secretariat imeanzishwa mpya alafu iwe na vilaza?
Nilidhani kwenye ofisi za zamani ndio kuna wa aina hiyo ambao hawang'oleki, wengine wameshastaafu kimsingi lakini bado wanajiona vijana.
Sitegemei serikali yangu tukufu iajiri wazee tena vilaza kwenye ofisi kama PSRS, NIDA na nyingine za hivi karibuni.
Kasri, hao PSRS kazi ni maajenti tuu wa recruitment ya serikali kama walivyo Radar, KPMG, Empower, De Loitte etc. Wanapokea tuu majina na kuyafanyia sampling. Determinate factor ya nani aitwe na nani amwagwe inafanywa na NIDA wenyewe na huko ndiko hayo ma threat yalikolala.
 
i have noted Kasri. Ntaitafuta hiyo barua yako na kuona kuna nini, then tutakupigia simu iwe kwa wema au ubaya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom