Ole wako Kikwete ukileta usanii report ya BOT

Mwafrika wa Kike

JF-Expert Member
Jul 5, 2007
5,185
56
Yaani Kama mchezo wa kuigiza vile!

Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Imefikia wakati sasa wananchi wa Tanzania ambao wamekuajiri kuwa rais wao wapewe heshima na usikivu wanaostahili. Mambo mnayoyafanya kwa sasa dhidi ya watu wa taifa hili yanapita kipimo cha kawaida cha uvumilivu.

Kuna habari kuwa serikali yako ina mpango wa kubadili baadhi ya mambo katika report ya ukaguzi ya BOT. Kuna report kuwa wewe na serikali yako ya sasa mna mpango wa kujitoa kabisa kwenye kashfa hii ambayo wewe binafsi na rafiki yako mwizi na mkoloni Rostam Azizi mnahusika moja kwa moja na kumtwisha lawama zote Dr Balali.

Napenda kukukumbusha kuwa report ya awali iliyotolewa na hao wachovu wa E&Y tayari ipo katika safe za Jambo forums. Ingawa report yenyewe imejaa usanii na lugha za kilaghai za kisheria, watanzania wana kila sababu ya kusoma hii report katika hali yake ya mwanzo (original content) ili waone usanii uliofanywa na Massawe na wenzake.

Juhudi zako za kutaka kubadili hii report ili wewe na mafisadi wako msionekane kuhusika ni mchezo wa kuigiza ambao utakutia hatiani. Kujifanya kuwa huna taarifa za kujiuzulu kwa Gavana wa benki wakati report zote za ikulu zinaonyesha kuwa wewe, Meghji, na yule msaliti - yuda iskarioti - Saliva Rweyemamu mnazo hizi habari kwa muda sasa ni mchezo wa kitoto.

Tafadhari prezid Kikwete. Ulilikoroga ulipokubali pesa za kodi ya Watanzania kuchukuliwa BOT ili wewe ushinde urais kwa kishindo na kudidimiza kabisa upinzani bungeni. Ulilikoroga ulipokubali pesa chafu toka kwa Rostam Aziz na biashara zake chafu na wairani. Ulilikoroga ulipokubali pesa toka kwa tapeli la kimataifa Sinclair na wenzake. Wakati umefika wa wewe kunywa ulichokoroga mwenyewe.

Ole wako ukileta usanii kwenye hii report, inawezekana vijana wako wanaokesha hapa na kujaribu kujua nani ni nani hapa hawana taarifa ya kinachokuja mwaka 2008. Watanzania wenye uchungu na nchi yao bila kujali walipo wamepania kuchukua nchi yao toka mikononi mwa mafisadi unaowalinda kwa nguvu ya dola.

Najua kuwa wasaidizi wako na wewe mwenyewe mtapretend kuwa hii email ninayoituma kwako na kwenye website yako na kisha kuwekwa kwenye forum tukufu ya JF kuwa hamjaiona. Hata hivyo ni vyema umejua ukweli ili usijelalama kuwa hukupewa onyo.

Asante
 
Yaani Kama mchezo wa kuigiza vile!

Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Imefikia wakati sasa wananchi wa Tanzania ambao wamekuajiri kuwa rais wao wapewe heshima na usikivu wanaostahili. Mambo mnayoyafanya kwa sasa dhidi ya watu wa taifa hili yanapita kipimo cha kawaida cha uvumilivu.

Kuna habari kuwa serikali yako ina mpango wa kubadili baadhi ya mambo katika report ya ukaguzi ya BOT. Kuna report kuwa wewe na serikali yako ya sasa mna mpango wa kujitoa kabisa kwenye kashfa hii ambayo wewe binafsi na rafiki yako mwizi na mkoloni Rostam Azizi mnahusika moja kwa moja na kumtwisha lawama zote Dr Balali.

Napenda kukukumbusha kuwa report ya awali iliyotolewa na hao wachovu wa E&Y tayari ipo katika safe za Jambo forums. Ingawa report yenyewe imejaa usanii na lugha za kilaghai za kisheria, watanzania wana kila sababu ya kusoma hii report katika hali yake ya mwanzo (original content) ili waone usanii uliofanywa na Massawe na wenzake.

Juhudi zako za kutaka kubadili hii report ili wewe na mafisadi wako msionekane kuhusika ni mchezo wa kuigiza ambao utakutia hatiani. Kujifanya kuwa huna taarifa za kujiuzulu kwa Gavana wa benki wakati report zote za ikulu zinaonyesha kuwa wewe, Meghji, na yule msaliti - yuda iskarioti - Saliva Rweyemamu mnazo hizi habari kwa muda sasa ni mchezo wa kitoto.

Tafadhari prezid Kikwete. Ulilikoroga ulipokubali pesa za kodi ya Watanzania kuchukuliwa BOT ili wewe ushinde urais kwa kishindo na kudidimiza kabisa upinzani bungeni. Ulilikoroga ulipokubali pesa chafu toka kwa Rostam Aziz na biashara zake chafu na wairani. Ulilikoroga ulipokubali pesa toka kwa tapeli la kimataifa Sinclair na wenzake. Wakati umefika wa wewe kunywa ulichokoroga mwenyewe.

Ole wako ukileta usanii kwenye hii report, inawezekana vijana wako wanaokesha hapa na kujaribu kujua nani ni nani hapa hawana taarifa ya kinachokuja mwaka 2008. Watanzania wenye uchungu na nchi yao bila kujali walipo wamepania kuchukua nchi yao toka mikononi mwa mafisadi unaowalinda kwa nguvu ya dola.

Najua kuwa wasaidizi wako na wewe mwenyewe mtapretend kuwa hii email ninayoituma kwako na kwenye website yako na kisha kuwekwa kwenye forum tukufu ya JF kuwa hamjaiona. Hata hivyo ni vyema umejua ukweli ili usijelalama kuwa hukupewa onyo.

Asante

I salute you Sister, you have made my day. The power of women is beyond giving birth. We have the courage to give life and take it away. For sure you have taken some breath out of mafisadi and their crew. This Rostam Aziz is a thieve. Kikwete has to either say simjui mtu huyu and take action or we will hang them all in the same rope. You message is a warning, loud and clear. We are coming.

Asha
 
Yaani Kama mchezo wa kuigiza vile!

Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Imefikia wakati sasa wananchi wa Tanzania ambao wamekuajiri kuwa rais wao wapewe heshima na usikivu wanaostahili. Mambo mnayoyafanya kwa sasa dhidi ya watu wa taifa hili yanapita kipimo cha kawaida cha uvumilivu.

Kuna habari kuwa serikali yako ina mpango wa kubadili baadhi ya mambo katika report ya ukaguzi ya BOT. Kuna report kuwa wewe na serikali yako ya sasa mna mpango wa kujitoa kabisa kwenye kashfa hii ambayo wewe binafsi na rafiki yako mwizi na mkoloni Rostam Azizi mnahusika moja kwa moja na kumtwisha lawama zote Dr Balali.

Napenda kukukumbusha kuwa report ya awali iliyotolewa na hao wachovu wa E&Y tayari ipo katika safe za Jambo forums. Ingawa report yenyewe imejaa usanii na lugha za kilaghai za kisheria, watanzania wana kila sababu ya kusoma hii report katika hali yake ya mwanzo (original content) ili waone usanii uliofanywa na Massawe na wenzake.

Juhudi zako za kutaka kubadili hii report ili wewe na mafisadi wako msionekane kuhusika ni mchezo wa kuigiza ambao utakutia hatiani. Kujifanya kuwa huna taarifa za kujiuzulu kwa Gavana wa benki wakati report zote za ikulu zinaonyesha kuwa wewe, Meghji, na yule msaliti - yuda iskarioti - Saliva Rweyemamu mnazo hizi habari kwa muda sasa ni mchezo wa kitoto.

Tafadhari prezid Kikwete. Ulilikoroga ulipokubali pesa za kodi ya Watanzania kuchukuliwa BOT ili wewe ushinde urais kwa kishindo na kudidimiza kabisa upinzani bungeni. Ulilikoroga ulipokubali pesa chafu toka kwa Rostam Aziz na biashara zake chafu na wairani. Ulilikoroga ulipokubali pesa toka kwa tapeli la kimataifa Sinclair na wenzake. Wakati umefika wa wewe kunywa ulichokoroga mwenyewe.

Ole wako ukileta usanii kwenye hii report, inawezekana vijana wako wanaokesha hapa na kujaribu kujua nani ni nani hapa hawana taarifa ya kinachokuja mwaka 2008. Watanzania wenye uchungu na nchi yao bila kujali walipo wamepania kuchukua nchi yao toka mikononi mwa mafisadi unaowalinda kwa nguvu ya dola.

Najua kuwa wasaidizi wako na wewe mwenyewe mtapretend kuwa hii email ninayoituma kwako na kwenye website yako na kisha kuwekwa kwenye forum tukufu ya JF kuwa hamjaiona. Hata hivyo ni vyema umejua ukweli ili usijelalama kuwa hukupewa onyo.

Asante

Good work
Message delivered.
 
I believe in women's move as benazir bhuto did to her last cell, keep it up african women, all the disaster and political results are onto you and children, please get up and stop this immediately.
 
I salute you Sister, you have made my day. The power of women is beyond giving birth. We have the courage to give life and take it away. For sure you have taken some breath out of mafisadi and their crew. This Rostam Aziz is a thieve. Kikwete has to either say simjui mtu huyu and take action or we will hang them all in the same rope. You message is a warning, loud and clear. We are coming.

Asha

Nakwambia sasa hivi JF imemshika pabaya huyu baba sijui atafanya nini. Mwenzake Lowasa sasa hivi kimyaaa, Makamba kimyaaa, ziara zote za mikoani wameishiwa kuzomewa tu.

Kikwete akileta usanii hii report ya BOT basi yaliyomtokea kule shinyanga akazomewa vijana wa usalama wakaingilia kati yatatokea nchi nzima mpaka akome au abadili mwelekeo
 
Hongera sana dadangu u deserve the best kukuletea hii thread kweli jamaa inabidi awe makini kwani peoples power inaogopwa sana asipokuwa makini nchi hii mambo yatabadilika kwani now days watu wanajua kuhoji rasilimali zao zinatumikaje.
 
Hongera sana dadangu u deserve the best kukuletea hii thread kweli jamaa inabidi awe makini kwani peoples power inaogopwa sana asipokuwa makini nchi hii mambo yatabadilika kwani now days watu wanajua kuhoji rasilimali zao zinatumikaje.

Asante PT,

Mbona huu ni mwanzo tu, JF imepata habari kuwa wamekaa vikao ili kucounter nguvu ya media na JF (ukichunguza utaona wameanza tena kujisajili hapa kwa nguvu) mwaka 2008.

Mimi nawapa tu ushauri wa bure, kama wanataka amani basi wafanye mema na kuacha kuuza nchi na future yetu kama wafanyavyo sasa. Mwakani kutawaka moto na watakimbia nchi kwa gharika nitakayomwaga (sasa hivi nimepata source ndani kabisa ya circe ya Kikwete mwenyewe) kwani hakutakuwa na huruma na mafisadi.
 
I salute you Sister, you have made my day. The power of women is beyond giving birth. We have the courage to give life and take it away. For sure you have taken some breath out of mafisadi and their crew. This Rostam Aziz is a thieve. Kikwete has to either say simjui mtu huyu and take action or we will hang them all in the same rope. You message is a warning, loud and clear. We are coming.

Asha

Usahau ku-nyonga yule sister mwingine Mama Getruda Zamoyoni Mogela (Mongela).
 
Itakuwa raha iliyoje kama katika wale wakaguzi waliofanya ukaguzi wa BOT mmoja wao aliiweka pembeni final draft ambayo ilikuwa 'haijafanyiwa mchakato' wa more than 6 weeks na CAG, kwa uchungu na mapenzi yake ya kweli kwa nchi yetu akiivujisha ripoti ile ambayo ilikuwa haijaguswa na CAG baada ya ripoti ambayo imefanyiwa mchakato kutolewa rasmi.

Hapo ndipo credibility ya siri kali itaanguka kabisa na kuwa ZERO. Maana utakuwa ni uwongo mkubwa baada ya ule wa kumtuhumu mbunge Zitto kwamba ni mwongo pale alipodai mkataba wa Buzwagi umesainiwa UK.

Kama mkataba wa Buzwagi uliweza kuvuja kuna uwezekano kabisa kwamba ripoti ya BOT ambayo CAG alikuwa hajaigusa kuifanyia mchakato nayo ikavujishwa.
 
Love,love love JF, long liveJF, bravo Mkike!!

Hakuna kulala mpaka kieleweke! Yaani mpaka pale fisadi aliye twambia tukale nyasi, atakapo rejea kwao na kupalilia migomba, hapo baada ya kumnyanganya kila kilicho chetu!

Oh' God sipati picha hapa!!
 
ama kweli li kampuni hili linaloongoza nchi yetu ikienda kwa a.k.a ya serikali ya kishkaji inalo na maji yamewakaa shingoni ila maadam waliyavulia nguo...basi yawabidi wayaoge!!!
wapumzike weee hata sielewi anachopumzika ni nini hasa maana muda woote alikua kwenye safari zake za kitalii halafu wakati yeye anapumzika mkewe anatembelea watoto yatima!!
anyways nice work sis. lets ongeza speed ya kupigana na hawa mafisadi wanaotaka kuiuza nchi yetu kwa manufaa ya wao na matumbo yao if not ya ndugu zao wa karibu!!

sijui Nyerere angerudi leo hii Tanzania angesemaje wallahi tena angechapa watu na ile fimbo yake
 
HIvi Kasi mpya, hari mpya na Nguvu Mpya ilikuwa ni usani au nini maana kama unapewa ripoti ambayo imefanyiwa kazi unakaa nayo na kuonekana unapata kigugumizi maana ya kasi ni nini?

Mimi nafikiri watanzania wana haki ya kupiga kelele kwa hili.

Vinginevyo ya nini uchunguzi? Kama mwendo wenyewe ni wa kinyonga?
 
Kikwete maji yamemfikia shingoni.Kuna wakati hata "usanii" huwa unashindwa, sasa hivi watu wanayo hiyo ripoti original, wanasubiri tu itolewe ya serikali kama serikali imeibadilisha watu waonyeshe uozo wa serikali yetu.

Sasa mtihani mgumu kwa "rahisi" wetu, hasa ukizingatia kila siku zinavyokwenda ndiyo tunasikia uozo zaidi kama huu mwingine wa $ 3m BOT.
 
Kikwete maji yamemfikia shingoni.Kuna wakati hata "usanii" huwa unashindwa, sasa hivi watu wanayo hiyo ripoti original, wanasubiri tu itolewe ya serikali kama serikali imeibadilisha watu waonyeshe uozo wa serikali yetu.

Sasa mtihani mgumu kwa "rahisi" wetu, hasa ukizingatia kila siku zinavyokwenda ndiyo tunasikia uozo zaidi kama huu mwingine wa $ 3m BOT.

aisee huo mwingine wa 3m BOT ni upi huooo??watu wengine antenna zetu hazijainasa vyema hiyoooo
 
mwafrika kike.........

acha kumtisha RAIS,wewe kama ungekuwa jemadari kweli ungerudi TZ na kuingia ktk SIASA kama sisi vile,tumeshakula kiswago sana kwa FFU lakini bado tunapeta tu.acha kelele zako ktk JF.
 
mwafrika kike.........

acha kumtisha RAIS,wewe kama ungekuwa jemadari kweli ungerudi TZ na kuingia ktk SIASA kama sisi vile,tumeshakula kiswago sana kwa FFU lakini bado tunapeta tu.acha kelele zako ktk JF.

Mbona mwafrika wa kike yupo Bongo? Komando umeliwa hapa huo ukomando wako uko wapi? Hii ni JF karibu sana kwa mara nyingine.

Mwafrika wa kike endelea kumkoma nyani giladi mchana kweupe.
 
Fisadi ni fisadi tu bila kujali jinsia ingawa wanaume so far wanaonekana kuzidi sana kwenye ufisadi...... yes I said it

Mwafrika wa Kike,

Ufisadi wa wanaume ni katika ile nia ya kufurahisha totoz, sasa ufisadi wa kike ni kumfurahisha nani? Sidhani kama mama Mongella alikuwa ATM ya kakijana fulani ambako kazi yake ni kumsubiri, kakatiwe pochi, kakakate panki.
 
Mbona mwafrika wa kike yupo Bongo? Komando umeliwa hapa huo ukomando wako uko wapi? Hii ni JF karibu sana kwa mara nyingine.

Mwafrika wa kike endelea kumkoma nyani giladi mchana kweupe.

DUA SAID..........

kwi kiw kiw,wewe ndio DUA SAID ulokuwa ukichezea small simba ya znz then ukahamia SIMBA?

turudi ktk thread yetu,safi sana kama yupo BONGO,tuendelee kumkomalia nyani.
 
DUA SAID..........

kwi kiw kiw,wewe ndio DUA SAID ulokuwa ukichezea small simba ya znz then ukahamia SIMBA?

turudi ktk thread yetu,safi sana kama yupo BONGO,tuendelee kumkomalia nyani.

Naona kazi ya U-komando huiwezi unaanza kubatiza watu majina hata huwafahamu. Pole sana utapata pressure ya bure hapa.
 
Back
Top Bottom