stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,816
- 22,919
Angalia isije ikawa ni coincidence tu inatokea kila unapoamua kungalia TV na yeye anaonekana Manyara...Habari zenu wadau,
Napenda kufahamu mheshimiwa huyu mara kwa mara namuona kwenye taarifa za habari akiwa Manyara kwenye shughuli za kimila
Je utendaji wake wa Ukuu wa Mkoa anafanya muda gani? Anapata ruhusa kwa nani au anataka Ubunge Tena.
Nawasilisha.