Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 792
- 405
Apigwe babaakoAtakae kaidi agizo hili mimi nasema na apigwe tuu.
Apigwe babaakoAtakae kaidi agizo hili mimi nasema na apigwe tuu.
Upinzani umekua Kama kichwa cha wendawazimu hata mashoga na vilaza wanataka wajifunzie kunyoaHana mamlaka hayo. Tamko hili batili lipuuzwe kama upuuzi unavyostahili kupuuzwa.
Mimi nafikiri viongozi wawe makini na matamko yao. Vyama vingi au wapinzani wapo kisheria katika nchi hii. Sasa kama hawatakiwi cha kwanza ni kuwafuta katika katiba ba sheria za vyama vya siasa lakini siyo kutoa matamko ya aina hii.
Tatizo ni mikutano ya hadhara yenye kukusanya wananchi hiyo aiwezi kubalika baada ya uchaguzi; lakini kama majuzi Salum Mwalimu kaenda kwenye mikutano yao ya ndani kwa wanachama wao hizo ni haki zao za msingi.
Mengine maneno tu mbona Salum Mwalimu ametoka hapa na kafanya kikao akaenda kukamatiwa Iringa"Nikikukuta nitakushukia kama mwewe" alisema Ole Sendeka.
Source: TBC1 Dira ya mchana.
My take.
Viongozi wetu ni bora wawe wazi kama hawataki uwepo wa vyama vingi.
Sasa kama hamutaki kuitii mamlaka iliyowekwa kikatiba kwanini musivunjwe miguu?? Tutakupiga tuuu.Apigwe babaako
Mkuu hawajambo kule TANZANIA MPYA YA MAGUFULISasa kama hamutaki kuitii mamlaka iliyowekwa kikatiba kwanini musivunjwe miguu?? Tutakupiga tuuu.
Wanamhujumu bila yeye kujua...anahisi yupo nao. These people are snake kuliko mh. Rais anavyodhani.
Kinywa cha kiongozi ndani ya serikali ya ccm ndiyo kimetoa maneno hayo. Lazima chadema wayape uzito.kila neno kila nukta mnaichukulia jumla jumla
Mambo! Upo mkuu....Hana mamlaka hayo. Tamko hili batili lipuuzwe kama upuuzi unavyostahili kupuuzwa.
Usipuuze yeye ndo mmiliki wa polisi ya mkoa. Mkakati wa ubaguzi sijui utatufikisha wapiHana mamlaka hayo. Tamko hili batili lipuuzwe kama upuuzi unavyostahili kupuuzwa.
Kwa bahati mbaya hata vyombo vyetu vya habari havihoji hayaMimi nafikiri viongozi wawe makini na matamko yao. Vyama vingi au wapinzani wapo kisheria katika nchi hii. Sasa kama hawatakiwi cha kwanza ni kuwafuta katika katiba ba sheria za vyama vya siasa lakini siyo kutoa matamko ya aina hii.
Its political customary practice/law na ukikaidi serikari inaweza amua kukutupia kesi yoyote ikiwamo disturbance of peace na ukafungwaHivyo ya hadhara imekatazwa na sheria gani?
Huu ndio unyanyasaji..mbona Mwenyekiti wa CCM anafanya ziara nchi nzima, anasimama barabarani na kuhutubia, na muda mwingi hushutumu na kudhalilisha vyama vya upinzani?
..tumeshuhudia mara kadhaa CCM wakifanya vikao vyao IKULU, lakini kuna wana CDM wamezuiwa kufanya mikutano kwenye majengo ya shule za msingi au kumbi binafsi.
..Kuna wana CDM zaidi ya 40 waliwekwa mahabusu kwa zaidi ya miezi mitatu mkoani Geita na kosa lao lilikuwa kufanya kikao cha ndani. Mahakama iliwaachia huru lakini kuna taarifa baadhi yao walikamatwa tena hapohapo mahakamani.
..kuna UKATILI na UDHALILISHAJI mkubwa dhidi ya wafuasi wa vyama vya siasa hapa nchini.
Kweli aseeIle minyoo iliyojaa mle tumboni imeshaharibu ubongo wake.
Akikataa tusifanye shughuli zetu kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi, basi tutafanyia juu ya kichwa chake"Nikikukuta nitakushukia kama mwewe" alisema Ole Sendeka.
Source: TBC1 Dira ya mchana.
My take.
Viongozi wetu ni bora wawe wazi kama hawataki uwepo wa vyama vingi.