mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Naikumbuka kashfa ya mchanga iliyowahi kumkumba huyu Mbunge mstaafu wa Mererani CCM Ole Sendeka juu ya mchanga wa Madini ya Tanzanite , hilo Moja.
Mosi: Maisha ya watu wa Mererani ni ya taabu na dhiki ya hali ya juu , wakati wazungu wanayamaliza madini yote yeye alikuwa shuhuda bila ya kusema lolote.
Sijakusikia mda mrefu , huwenda umejibana ili mkuu asisikie kelele zako.Ila nadhani huu ni muda wako muafaka wa kuzitia nywele maji,kiwembe kinakuja.
Mosi: Maisha ya watu wa Mererani ni ya taabu na dhiki ya hali ya juu , wakati wazungu wanayamaliza madini yote yeye alikuwa shuhuda bila ya kusema lolote.
Sijakusikia mda mrefu , huwenda umejibana ili mkuu asisikie kelele zako.Ila nadhani huu ni muda wako muafaka wa kuzitia nywele maji,kiwembe kinakuja.