Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Habari zilizorushwa na TBC1 kutoka Manyara zimeonesha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Henry Shekifu amepandishiana live na Ole Sendeka baada ya kutofautiana wakati wakihudhuria mkutano wa vijiji viwili huko Simanjiro. Kama kawaida ya wakubwa, RC ametishia kumweka ndani Sendeka kwani sheria inamruhusu kufanya hivyo kwa msaa 48 bila kutakiwa kutoa maelezo.