Ina maana hujui kuwa wewe ni mtoto wa koromitje?Kijiji gani?
Kutesa kwa zamuKazi kweli upambe unauweza!
Kesha chelewa maana mkulu kashapewa list of shame ndani ya ccmDogo kaanza kujipendekeza
Sure mkuuHuyu ni mbwa. Amewatesa sana watu. Na kuua, tumuachie Mh Rais maana atapewa ripoti zao wote kabla ya kufanya teuzi.
Mimi ninapendekeza apewe mkoa mzima wa Kilimanjaro.
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli
"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".
"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"
"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.
Chanzo: #CloudsDigitalUpdates
Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame President ila huyu Mtu ni Mafia ( Intarahamwe ), Mtu wa Fursa ( Opportunist ) na ni Mnafiki ( Hypocrite ) sana hivyo Usimuamini kwani hapo anakujaza tu Upepo ili umuone yupo nawe. Kuwa makini mno.
Kule mlikokuwa mnakusifiaKijiji gani?
Chloroquine ya Mbowe.Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli
"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".
"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"
"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.
Chanzo: #CloudsDigitalUpdates
Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame President ila huyu Mtu ni Mafia ( Intarahamwe ), Mtu wa Fursa ( Opportunist ) na ni Mnafiki ( Hypocrite ) sana hivyo Usimuamini kwani hapo anakujaza tu Upepo ili umuone yupo nawe. Kuwa makini mno.
Njaa mbaya sana!Kutesa kwa zamu
Wahi mirembe mwezi huu dozi hujameza!Ina maana hujui kuwa wewe ni mtoto wa koromitje?
Nitawahi sawa ila ukweli bado utabakia paale paale kuwa kwenu ni koromitje kijiji cha NyamadhookeWahi mirembe mwezi huu dozi hujameza!
Ndiyo unalijua hilo leo hii?Njaa mbaya sana!
Tushawajua nyinyi kuwa ndiyo wale wasiyo julikana.Mbona naona kama nanihii wote wameamia CCM. Au ndio kutojuwa waendako. "Magufuli anafuata será za Chadema - Lema 2016"
Naona bado unamkumbuka sana Mbowe kisa mimba aliyo kupachikaChloroquine ya Mbowe.
ChatouuuuKule mlikokuwa mnakusifia
Huyo mtu ni hovyo kabisaHuyu ndio alikuwa kikwazo kwa utendaji wa Mkuu wa Kilimajaro kwani yeye alijiona ni mkubwa kuliko RC na hata Waziri Mkuu; kwani alikuwa anawasiliana moja kwa moja na Jiwe. Tabia ya kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na Rais ndio ilimjengea kiburi na kuvunja sheria katika utendaji wake!! Wananchi wengi hawamsemi vizuri Sabaya kwa ukosaji wa busara.
Dadeeekiiii bundle limekata na mama Samia keshapiga stop vya bure hapo lumumbaWahi mirembe mwezi huu dozi hujameza!