Ole Sabaya: Rais Samia Suluhu ameleta tumaini jipya katika wakati bado taifa likiwa kwenye maombolezo ya Hayati Magufuli

Mimi ninapendekeza apewe mkoa mzima wa Kilimanjaro.

Huyu ndio alikuwa kikwazo kwa utendaji wa Mkuu wa Kilimajaro kwani yeye alijiona ni mkubwa kuliko RC na hata Waziri Mkuu; kwani alikuwa anawasiliana moja kwa moja na Jiwe. Tabia ya kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na Rais ndio ilimjengea kiburi na kuvunja sheria katika utendaji wake!! Wananchi wengi hawamsemi vizuri Sabaya kwa ukosaji wa busara.
 
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli

"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".

"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"

"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.

Chanzo: #CloudsDigitalUpdates

Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame President ila huyu Mtu ni Mafia ( Intarahamwe ), Mtu wa Fursa ( Opportunist ) na ni Mnafiki ( Hypocrite ) sana hivyo Usimuamini kwani hapo anakujaza tu Upepo ili umuone yupo nawe. Kuwa makini mno.

Huyo ni mmoja wa kuondolewa u DC amechafua sana awamu ya 5 ,amedhulumu sana wafanyabiashara huyo "andakava igo sirii".
 
Sabaya must go! Na hata hiyo kazi ya uaundercover atolewe kwani ataitumia kuendelea kuwaumiza wananchi! Mamlaka ikipendezwa ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma na madaraka! Pccb chunguzeni mtu huyu mchukue point tatu muhimu, au hamtaki kupanda daraja?
 
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli

"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".

"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"

"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.

Chanzo: #CloudsDigitalUpdates

Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame President ila huyu Mtu ni Mafia ( Intarahamwe ), Mtu wa Fursa ( Opportunist ) na ni Mnafiki ( Hypocrite ) sana hivyo Usimuamini kwani hapo anakujaza tu Upepo ili umuone yupo nawe. Kuwa makini mno.
Chloroquine ya Mbowe.
 
Mbona naona kama nanihii wote wameamia CCM. Au ndio kutojuwa waendako. "Magufuli anafuata será za Chadema - Lema 2016"
 
Mbona naona kama nanihii wote wameamia CCM. Au ndio kutojuwa waendako. "Magufuli anafuata será za Chadema - Lema 2016"
Tushawajua nyinyi kuwa ndiyo wale wasiyo julikana.

..https://www.instagram.com/p/CNARFRDHeO5xbGPt6d4HaSSE3X2NdfFDZqcNkk0/?igshid=1ci9in5gc8nqx
 
Huyu ndio alikuwa kikwazo kwa utendaji wa Mkuu wa Kilimajaro kwani yeye alijiona ni mkubwa kuliko RC na hata Waziri Mkuu; kwani alikuwa anawasiliana moja kwa moja na Jiwe. Tabia ya kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na Rais ndio ilimjengea kiburi na kuvunja sheria katika utendaji wake!! Wananchi wengi hawamsemi vizuri Sabaya kwa ukosaji wa busara.
Huyo mtu ni hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom