Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
Lengai Ole Sabaya mara baada ya hukumu amesema na kuwataka ndugu zake kuwa wasiogope kwani Mungu yupo kazini muda wote kwa ajili ya maisha yake.
Alichozungumza Sabaya baada ya Hukumu
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amewataka ndugu zake wasiogope kwani Mungu yupo kazini.
www.mwananchi.co.tz