Ole Sabaya leo atakuwa live katika kipindi cha Star Tv cha Big Ajenda

Gilbert A Massawe

JF-Expert Member
May 14, 2015
4,676
3,394
Lengai Ole Sabaya leo atakua live katika kipindi cha Star Tv cha Big Ajenda kimachorushwa Live kwanzia saa 3:30 mkapa saa 4:30 usiku

Mengi yamezungumzwa ,Mengi yamezushwa ni wakati sasa wa kuendelea kumpuuza mzushi wa Vifo mtandaoni.

Maendeleo hayana Vyama.

1615279129712.png
 
Lengai Ole Sabaya leo atakua live katika kipindi cha Star Tv cha Big Ajenda kimachorushwa Live kwanzia saa 3:30 mkapa saa 4:30 usiku

Mengi yamezungumzwa ,Mengi yamezushwa ni wakati sasa wa kuendelea kumpuuza mzushi wa Vifo mtandaoni.


Maendeleo hayana Vyama.
 
Mkuu wa wilaya ya Hai yuko live muda huu katika kituo cha luninga cha Star tv!

Wabaya wake hasa chadema na yule mtwita mliyemzushia kifo sageni tu sumu!
 
Mkuu wa wilaya ya Hai yuko live muda huu katika kituo cha luninga cha Star tv!

Wabaya wake hasa chadema na yule mtwita mliyemzushia kifo sageni tu sumu!

Post hali ya umeme nchini au mnasubiri zitto aseme?
 
Back
Top Bottom