Ole Sabaya kupanda Kizimbani leo kesi ya Uhujumu Uchumi

Kesi mpya au kesi ni ileile lakini anasomewa mashitaka mapya?

Kesi mpya, kwamba Jamhuri imesajili kesi nyingine?
 
Aliye Kuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anakabiliwa na kesi Mpya ya Uhujumu uchumi na wenzake Sita

Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kumsomea mashitaka hayo Sabaya ambayo ni kesi mpya inayo mkabili na wenzake Sita.
Afungwe haraka huyo jangili
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom