johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Tunakumbushana tu kwamba kutenguliwa, kutumbuliwa na kusimamishwa siyo jambo jipya kwa viongozi wetu wa kisiasa.
Niseme tu CCM ni lazima waendelee kuwa wamoja huyu Ole sabaya siyo wa kwanza na hatakuwa wa mwisho kutumbuliwa.
Nakumbuka yule DAS wa Kisarawe alipotumbuliwa na hayati Magufuli kwenye mkutano wa hadhara Chadema walishangilia sana lakini hakuna mwanaccm aliyedai Magufuli ameamua kuwafurahisha wapinzani.
Katika siasa kuna nyakati za kuvheka na nyakati za kulia.
Tuwe wavumilivu.
Eid Mubarak!
Niseme tu CCM ni lazima waendelee kuwa wamoja huyu Ole sabaya siyo wa kwanza na hatakuwa wa mwisho kutumbuliwa.
Nakumbuka yule DAS wa Kisarawe alipotumbuliwa na hayati Magufuli kwenye mkutano wa hadhara Chadema walishangilia sana lakini hakuna mwanaccm aliyedai Magufuli ameamua kuwafurahisha wapinzani.
Katika siasa kuna nyakati za kuvheka na nyakati za kulia.
Tuwe wavumilivu.
Eid Mubarak!