Ole Sabaya kaa kimya uchunguzwe, acha kuchonganisha mamlaka za nchi. Utaingia matatizoni

Wakuu amani iwe juu yenu!

Hili naomba niliseme wazi na Sabaya mwenyewe najua yupo humu asome na asikie ujumbe impate. Kama hataki aache lakini matokeo atayapata muda sio mrefu. Hii ni tahadhari kwake kama ana masikio asikie, kama ana ubongo aelewe.

Kuna kundi la vijana wa CCM ambalo hata mimi nikiri mimi kwenye makundi hayo, wanafanya kazi kumsema Vibaya Mhe Rais wetu chini ya uamuzi wake wa kumsimashia Sabaya nafasi ya ukuu wa wilaya, makundi haya yanamtetea Sabaya kwa hali na mali akiyaandaa yeye mwenyewe. Kwa bahati mbaya sana kazi wanayofanya ni kudhihaki mamlaka za nchi. Wamesahau kuwa aliyemsimamisha kazi Sabaya si Samia Suluhu Hassan bali ni Rais Samia Suluhu Hassan. Urais ni taasisi kubwa ina macho yake ya kila aina na ni mengi.

Sabaya badala ya kutulia achunguzwe tuhuma dhidi yake ili ma majibu yajulikane na badala yake anatumia vijana kumsafisha aonekane kua hana hatia. Sabaya unataka kujihami na nini? What if matokeo ya uchunguzi yakasema aliharibu pakubwa na aende jela, wasafishaji wake watenda wapi hali ikiwa hivyo. Wewe wenzako wanatulia hata ili hata kama kuna makosa yatadhihiri hata busara inaweza kutumika kumuadhibu, leo wewe unaona umeonewa na kutuma vijana kumsema vibaya Mama?

Matukio yote unayotuhumiwa nayo Sabaya ni makubwa sana ni bora kukaa kimya. Muungwa huchutama pale akoseapo. Wajanja hukaa kimya ili hata kama kuna makosa waonewe huruma lakini wewe kichwa ngumu.

Hivi wewe unafikiri Mama hana faili lako? Unafikiri hakujui vizuri? Endelea kujiona unaonewa utapata mtu wa kukurudisha kwenye nafasi yako kama si jela.
Mimi hapa ndio huwa sielewi. Kabla na baada ya Ole Sabaya kusimamishwa mlikuwa mnajaza nyuzi humu za kumshambulia! Ila yeye au mtu akimtetea ni kosa sio? What's the meaning of natural justice!?
 
Kuna wengine wamefikia hatua ya kumwambia Rais Samia eti ajitafakari.
Halafu wakikumbushwa wanayemsema ni mh. Rais wanawaita wanaowakumbusha kuwa ni wapinzani. Kuna mmoja wao juzi alianzisha uzi wake humu akijitapa kwamba yeye amebobea kwenye maswala ya uongozi huku akidai mama hajakomaa bado
 
Wakuu amani iwe juu yenu!

Hili naomba niliseme wazi na Sabaya mwenyewe najua yupo humu asome na asikie ujumbe impate. Kama hataki aache lakini matokeo atayapata muda sio mrefu. Hii ni tahadhari kwake kama ana masikio asikie, kama ana ubongo aelewe.

Kuna kundi la vijana wa CCM ambalo hata mimi nikiri mimi kwenye makundi hayo, wanafanya kazi kumsema Vibaya Mhe Rais wetu chini ya uamuzi wake wa kumsimashia Sabaya nafasi ya ukuu wa wilaya, makundi haya yanamtetea Sabaya kwa hali na mali akiyaandaa yeye mwenyewe. Kwa bahati mbaya sana kazi wanayofanya ni kudhihaki mamlaka za nchi. Wamesahau kuwa aliyemsimamisha kazi Sabaya si Samia Suluhu Hassan bali ni Rais Samia Suluhu Hassan. Urais ni taasisi kubwa ina macho yake ya kila aina na ni mengi.

Sabaya badala ya kutulia achunguzwe tuhuma dhidi yake ili ma majibu yajulikane na badala yake anatumia vijana kumsafisha aonekane kua hana hatia. Sabaya unataka kujihami na nini? What if matokeo ya uchunguzi yakasema aliharibu pakubwa na aende jela, wasafishaji wake watenda wapi hali ikiwa hivyo. Wewe wenzako wanatulia hata ili hata kama kuna makosa yatadhihiri hata busara inaweza kutumika kumuadhibu, leo wewe unaona umeonewa na kutuma vijana kumsema vibaya Mama?

Matukio yote unayotuhumiwa nayo Sabaya ni makubwa sana ni bora kukaa kimya. Muungwa huchutama pale akoseapo. Wajanja hukaa kimya ili hata kama kuna makosa waonewe huruma lakini wewe kichwa ngumu.

Hivi wewe unafikiri Mama hana faili lako? Unafikiri hakujui vizuri? Endelea kujiona unaonewa utapata mtu wa kukurudisha kwenye nafasi yako kama si jela.
Unataka kumchonganisha raisi na watu wake wakati yeye mwenyewe karuhusu uhuru wa habali?
Kwani sabaya akirukaruka kisha akatulia wewe unaona raisi ana shida gani nae?
Nyie ndo.wachonganishi,
 
... mtu mwenyewe alishakutwa na kitambulisho fake cha tiss lakini bado akateuliwa na kuendelea kudumu katika nafasi ya u-dc. Mamlaka ya uteuzi tuieleweje?
 
Nchi ilipitia wakati mgumu sana...
images (50).jpeg

images (52).jpeg
 
Mimi bado nina mashaka naye kuwa ni Mtu wa Kitengo (bado kile kitambulisho alichoshikwa nacho cha kufoji cha TISS mwaka fulani) harafu akaachiwa bado napata mashaka!
Mambo yataishia uchunguzi bado unaendelea.
 
Mwigullu alipotumbuliwa na Maghufuli alikaa kimya,, na badala yake akaanza kummwagia sifa.
Mwishoe Mwigullu kalamba uwaziri tena.
Kimya ni kizuri sana.
 
Huyu Sabaya ni mjinga sana, amewatengeneza mamluki wa kumtetea, na yeye mwenyewe kwa kuoitia accounts zake za JF, amekuwa akipost kila mara mada ya kuonesha kuwa yeye ni mtu safi bali alikuwa anafanya uovu kwa sababu ya maelekezo toka kwa marehemu.

Lakini kwa hakika jibu atalipata. Rais Samia siyo mjinga. Unadhani kwa nini Hapi na Chalamila, licha ya kusemwa sana, hawajasimamishwa? Hapi na Chalamila, ni mdomoni tu, lakini hawajaua mtu wala hawajapora mali ya mtu, tofauti na Sabaya ambaye ametenda grave crimes ambazo ni lazima uwe hayawani kukubali kuwa ni mambo ya kawaida.

Vyombo vinavyochunguza, bimalize kazi haraka, Sabaya asimamishwe mahakamani, na aende wanakoishi waovu kama yeye.
The flavor of tit for tat principle is very sweet, kama kweli alitenda hizo vitu I pray that he be prosecuted immediately and I will rejoice in his regret and pains! 😏😏😎👌
 
Wakuu amani iwe juu yenu!

Hili naomba niliseme wazi na Sabaya mwenyewe najua yupo humu asome na asikie ujumbe impate. Kama hataki aache lakini matokeo atayapata muda sio mrefu. Hii ni tahadhari kwake kama ana masikio asikie, kama ana ubongo aelewe.

Kuna kundi la vijana wa CCM ambalo hata mimi nikiri mimi kwenye makundi hayo, wanafanya kazi kumsema Vibaya Mhe Rais wetu chini ya uamuzi wake wa kumsimashia Sabaya nafasi ya ukuu wa wilaya, makundi haya yanamtetea Sabaya kwa hali na mali akiyaandaa yeye mwenyewe. Kwa bahati mbaya sana kazi wanayofanya ni kudhihaki mamlaka za nchi. Wamesahau kuwa aliyemsimamisha kazi Sabaya si Samia Suluhu Hassan bali ni Rais Samia Suluhu Hassan. Urais ni taasisi kubwa ina macho yake ya kila aina na ni mengi.

Sabaya badala ya kutulia achunguzwe tuhuma dhidi yake ili ma majibu yajulikane na badala yake anatumia vijana kumsafisha aonekane kua hana hatia. Sabaya unataka kujihami na nini? What if matokeo ya uchunguzi yakasema aliharibu pakubwa na aende jela, wasafishaji wake watenda wapi hali ikiwa hivyo. Wewe wenzako wanatulia hata ili hata kama kuna makosa yatadhihiri hata busara inaweza kutumika kumuadhibu, leo wewe unaona umeonewa na kutuma vijana kumsema vibaya Mama?

Matukio yote unayotuhumiwa nayo Sabaya ni makubwa sana ni bora kukaa kimya. Muungwa huchutama pale akoseapo. Wajanja hukaa kimya ili hata kama kuna makosa waonewe huruma lakini wewe kichwa ngumu.

Hivi wewe unafikiri Mama hana faili lako? Unafikiri hakujui vizuri? Endelea kujiona unaonewa utapata mtu wa kukurudisha kwenye nafasi yako kama si jela.
Uchunguzi huru ukifanyika Sabaya hachomoki
 
Kuna wengine wamefikia hatua ya kumwambia Rais Samia eti ajitafakari.

Maajabu makubwa haya, nimeshangaa sana kajitu kanadhubutu kutoa kauli ya namna hii "JITAFAKARI" kwenye mamlaka ya juu kabisa ya nchi! Wameharibu kabisa!

Hata kama mh Rais alikuwa na mpango wa kusamehe hii kauli ni kudharau na kushusha mamlaka ya nchi! Sina uhakika kwa kauli kama hii mama ataacha kumchukulia hatua dhabiti!

Sabaya angekuwa na akili angeacha kutengeneza haya makundi ya kumtetea kwenye mitandao ya jamii! Angetulia kwa busara hili wimbi lipite!

Hakuna asiyefahamu uovu alioutenda kwa watu! Ameumiza watu wengi sana!
 
Wakuu amani iwe juu yenu!

Hili naomba niliseme wazi na Sabaya mwenyewe najua yupo humu asome na asikie ujumbe impate. Kama hataki aache lakini matokeo atayapata muda sio mrefu. Hii ni tahadhari kwake kama ana masikio asikie, kama ana ubongo aelewe.

Kuna kundi la vijana wa CCM ambalo hata mimi nikiri mimi kwenye makundi hayo, wanafanya kazi kumsema Vibaya Mhe Rais wetu chini ya uamuzi wake wa kumsimashia Sabaya nafasi ya ukuu wa wilaya, makundi haya yanamtetea Sabaya kwa hali na mali akiyaandaa yeye mwenyewe. Kwa bahati mbaya sana kazi wanayofanya ni kudhihaki mamlaka za nchi. Wamesahau kuwa aliyemsimamisha kazi Sabaya si Samia Suluhu Hassan bali ni Rais Samia Suluhu Hassan. Urais ni taasisi kubwa ina macho yake ya kila aina na ni mengi.

Sabaya badala ya kutulia achunguzwe tuhuma dhidi yake ili ma majibu yajulikane na badala yake anatumia vijana kumsafisha aonekane kua hana hatia. Sabaya unataka kujihami na nini? What if matokeo ya uchunguzi yakasema aliharibu pakubwa na aende jela, wasafishaji wake watenda wapi hali ikiwa hivyo. Wewe wenzako wanatulia hata ili hata kama kuna makosa yatadhihiri hata busara inaweza kutumika kumuadhibu, leo wewe unaona umeonewa na kutuma vijana kumsema vibaya Mama?

Matukio yote unayotuhumiwa nayo Sabaya ni makubwa sana ni bora kukaa kimya. Muungwa huchutama pale akoseapo. Wajanja hukaa kimya ili hata kama kuna makosa waonewe huruma lakini wewe kichwa ngumu.

Hivi wewe unafikiri Mama hana faili lako? Unafikiri hakujui vizuri? Endelea kujiona unaonewa utapata mtu wa kukurudisha kwenye nafasi yako kama si jela.
Ndugu yangu nikurekebishe kidogo sabaya hapaswi kuchunguzwa sababu ushahidi wa ujambazi wake upo wazi na hakimu atakayemshughulikia hatapata tabu. Yeye mwenyewe anajua jela inamuhusu
 
Back
Top Bottom