Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,722
- 14,248
Huyu ni mfanyabiashara, he worth alot to our beloved nation,
Sidhani kama anastahili manyanyaso kiasi hiki kwenye nchi ya mama yake,
Kutishana kwa namna hii hakukubaliki.
Ole sabaya ndugu yangu tazama upya mienendo yako
Lakini hata hivo MaDC na Ma RC nani kawapa kazi ya kudai kodi?
Ikibidi si ingebidi waende na wataalam wa kodi tena muda wa kazi jamani?
Cheo ni dhamana!
Sidhani kama anastahili manyanyaso kiasi hiki kwenye nchi ya mama yake,
Kutishana kwa namna hii hakukubaliki.
Ole sabaya ndugu yangu tazama upya mienendo yako
Lakini hata hivo MaDC na Ma RC nani kawapa kazi ya kudai kodi?
Ikibidi si ingebidi waende na wataalam wa kodi tena muda wa kazi jamani?
Cheo ni dhamana!