Ole Sabaya: Doa jeusi kwa utawala wa Hayati Magufuli

Na bado Jiwe lingekuwepo , hakuna ambaye angethubutu kupereka kesi dhidi DC au RC yeyote muonevu . Walikuepo wengi eti sasa wamenywea kama wema vile !!. Mwz kulikuwa na moja mbaya kuliko Sabaya, ila hulka ya watu wa huko ya upole na kutokuhoji imemuokoa. Eti sasa ni mtu mwema !!
Mkuu mtaje tu huyo Sabaya clone.
Linalohitajika ni mtu kulalamika rasmi tu.
 
Tatizo yeye mwenyewe kakili kosa Sasa hapo ni ngumu kushinda hata kama anaenda kukataa lufaa.Hii hukumu tayali imeshakua ngumu sana kwake Maana kama hukumu isingetoka kama ilivotoka basi ingehalalisha Serikali ilikua ndo yenye kutoa hizo oda za kuumiza watu Sasa basi kwa hii hukumu Serikali imekwepa Hilo doa.Nampa pole nyingi lakini ukishakubali kutumika Namna hiyo basi mwisho wa siku Dola hukutelekeza ili isichafuke ,Sabaya kavuna alichopnda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Many of you writes pro or otherwise on the function of governments. For your information : all governments in the world's are criminal enterprises, that's why all heads' seek protection of the law while discharging it's duties.

There is no government enterprise that is people centered, all projects are implemented to serve the best interests of those in power, unless you are lucky that your interests accidentally converge with theirs. ..
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
 
Atajisafisha wapi? Mahakama ya Rufani inaenda kumaliza mchezo kabisa! Hivyo visenti alivyobaki navyo (kama anavyo) ni bora awaachie ndugu zake wasogeze maisha, la sivyo hao mawakili watavitafuna na hamna hukumu yeyote itapinduliwa!! Mtu kakiri kabisa alienda kufanya ujambazi kwa amri kutoka juu, hivi ataachiwaje huyo?

Nuremberg trials iliweka precedence kwamba kutumwa na mamlaka za Juu kufanya makosa hakimuondolei aliyetenda hilo kosa hukumu.
Nuremberg trials ni mashtaka maalumu kwa wale wote waliohusika na mauaji ya waisrael uliofanywa na wajerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.
katika hukumu hizo majenerali wa jeshi la ujerumani walioshiriki mauaji hayo walijitetea kwamba walikuwa wanatekeleza maagizo kutoka kwa Adolf Hitler na hayakuwa matakwa yao.
Wote walifungwa utetezi wao huo haukukubalika.
Hao mawakili wa sabaya sijui walikuwa hawafahamu kuhusu hizo kesi study za Nuremberg.
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Ifike mahali wana ccm wajue kwamba kinachopiganiwa na chadema yaani katiba mpyaa ni muhimu sana kuliko wanavodhani ….Sabaya kaingia matatizo kwa kutumika tu kama chambo ,kutii maagizo kutoka juu..vijana wa ccm still now bado mnatumiwa direct au indirect ifike mahali mkubali katiba mpya inatakiwa mjue katiba mpya ni salama kwenu na itakua kinga kwenu muache kutumika…aliekua anamtumia sabaya hayupo leo familia ya sabaya inatokwa na machozi kwa matunda waloyafaidi kwa muda mfupi…katiba mpya ni sasa.
 
Nuremberg trials iliweka precedence kwamba kutumwa na mamlaka za Juu kufanya makosa hakimuondolei aliyetenda hilo kosa hukumu.
Nuremberg trials ni mashtaka maalumu kwa wale wote waliohusika na mauaji ya waisrael uliofanywa na wajerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.
katika hukumu hizo majenerali wa jeshi la ujerumani walioshiriki mauaji hayo walijitetea kwamba walikuwa wanatekeleza maagizo kutoka kwa Adolf Hitler na hayakuwa matakwa yao.
Wote walifungwa utetezi wao huo haukukubalika.
Hao mawakili wa sabaya sijui walikuwa hawafahamu kuhusu hizo kesi study za Nuremberg.
Yule wakili wake hajitambui, jana anahojiwa anasema hukumu iliyotoka ni nzuri na yeye ameipenda, sasa kama hukumu ni nzuri unakata rufaa ya nini?
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Hafungwi mtu hapa. We all know that... Wanapoteza pesa ya serikali bure tu.
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
It is pity kwamba Makonda hajachunguzwa. arrogance aliyokuwa nayo wakati ule, inawezekana yapo maovu alitenda
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Mwisho wa Ubaya AIBU! Hata wanaojipirikicha kumuinua Mwendazake wanatia kinyaa! Yule alikuwa wakala wa shetani kwisha!
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Ni bora anayepanga kuliko anayeharibu amani ya nchi tena live kabisa na kupata baraka kutoka kwa magufuli.
 
Mleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais Mamá Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi

Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu

Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
Hapana wote wanahusika ama kwa kuruhusu, kwa kutokuchukua hatua au kutoachia madaraka kupinga vitendo hivyo. Kwa mantiki unayoisemea hiyo basi hizo jinai zinazofanana na aliyofanya Sabaya hazitakoma. Zinatakiwa zikome kama tunataka Tanzania iwe sehemu ya jamii ya ulimwengu unaoendeshwa kwa mujibu wa utawala wa sheria. Heshima ya Tanzania tuliyokuwa nayo ndiyo inaporomoshwa na uongozi unaotafuta sababu za kukwepa kuwajibika ipasavyo. Mbona Mwenyekiti wetu wa CCM mstaafu, Mzee Mwiny,i amekuwa wazi kwenye kitabu chake jinsi alivyowajibika kwenye vifo vya mahabusu wa Shinyanga wakati yeye hakuhusika moja kwa moja. Cha kushangaza hayo madoa meusi ya Hayati Magufuli yanayoharibu mengine mazuri aliyotufanyia Watanzania bado yanaendelezwa na uongozi wa sasa hata wakati aliyeanzisha hayupo! Simwelewi mtu ye yote mwenye akili ya wastani na ana uwezo wa kusoma historia anaweza kuyaendeleza akawa anakwenda Kanisani au Msikitini au Umoja wa Mataifa kutoa hotuba! Anakwenda kufanya nini!? Mwenyezi Mungu apishe mbali.
 
Back
Top Bottom