Ole Sabaya: Doa jeusi kwa utawala wa Hayati Magufuli

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,314
24,173
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
 
Bado ameomba kukata rufaa atajisafisha tu.

Hapa kazi tu.
Atajisafisha wapi? Mahakama ya Rufani inaenda kumaliza mchezo kabisa! Hivyo visenti alivyobaki navyo (kama anavyo) ni bora awaachie ndugu zake wasogeze maisha, la sivyo hao mawakili watavitafuna na hamna hukumu yeyote itapinduliwa!! Mtu kakiri kabisa alienda kufanya ujambazi kwa amri kutoka juu, hivi ataachiwaje huyo?
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Hakika ni doa jeusi mno!
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.

Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!

Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
 
Atajisafisha wapi? Mahakama ya Rufani inaenda kumaliza mchezo kabisa! Hivyo visenti alivyobaki navyo (kama anavyo) ni bora awaachie ndugu zake wasogeze maisha, la sivyo hao mawakili watavitafuna na hamna hukumu yeyote itapinduliwa!! Mtu kakiri kabisa alienda kufanya ujambazi kwa amri kutoka juu, hivi ataachiwaje huyo?
Kweli ila ngoja tuone kipi kitafuta.
Hiyo ni hukumu ya kesi ya Arusha, bado kesi za Hai ambazo zina ukatili wa kutisha na kuna mashahidi kama wote.

Ni bora atulizane tuu.
Kumbe bado Kazi inaendelea.
Mkuu bado doa jeusi limetanda kwa utawala wa Maguguli.
Aliruhusu vipi wananchi waporwe kwa mtutu wa DC?
Vyombo vya kulinda haki za raia mbona vikawa paralysed?
Ila kuna watu walitajwa mahakani nimeilona imepigwa kimya kimya
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Bado yule aliyekuwaga rais wa Dar
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Hapa anayeongelewa ni Lengai Ole Sabaya ambaye sasa ni mfungwa kwa kukutwa na kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha. Anzisha uzio wako unaohusiana na mtuhumiwa (mpaka pale mahakama itakapotamka vingine) wa ugaidi.
 
Mleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais Mamá Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi

Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu

Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
 
Aliyekwenda angekuwepo leo hii Sabaya angekuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro/DSM/Dodoma/Arusha, na kila siku angekuwa anamwagiwa masifa kuwa ni mchapakazi na mzalendo!! Hawa watu wanaopenda kujiita wazalendo wa kuogopa sana
Kwenye kundi la majambazi, muuaji zaidi ndiyo humwagiwa sifa. Ndiyo maana haishangazi Makonda na Sabaya walikuwa kwenye top 5 ya marehemu.
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Huyu si wa kwanza, yapo Mengi tu kwenye Awamu zote zilizopita, Daniel Yona, Mramba, Grey Mgonja, Lowasa, Kikwete,
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.

Crap. Worth for the fools.
 
Na ndilo kosa kubwa alilofanya. Kukiri kuwa alitenda kwa maagizo. Kisheria amehukimiwa kwa matendo yake siyo kwa maelekezo toka juu.
Atajisafisha wapi? Mahakama ya Rufani inaenda kumaliza mchezo kabisa! Hivyo visenti alivyobaki navyo (kama anavyo) ni bora awaachie ndugu zake wasogeze maisha, la sivyo hao mawakili watavitafuna na hamna hukumu yeyote itapinduliwa!! Mtu kakiri kabisa alienda kufanya ujambazi kwa amri kutoka juu, hivi ataachiwaje huyo?
 
Haita msaidia kwakuwa yeye mwenyewe amekiri kutenda makosa akidai kwa maagizo kutoka juu. Aliyetenda makosa ni yeye hivyo amehukumiwa kwa matendo yake. Waliomtuma (kama ni kweli na hapa lazima awe na ushahidi wa maandishi) hawahusiki na uovu alioufanya na ndiyo maana hawakuitwa mahakamani
Bado ameomba kukata rufaa atajisafisha tu.

Hapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom