Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,756
Naona wameimerge humu ndani mkuu wangu.....Wahenga walisema kuwa kila masika na mbu wake.
Kweli hakuna marefu yasiyo na ncha hapa duniani.
Tazameni jinsi vijana hawa walivyo kuwa wanakula nchi na majivuno kibao.
Leo hii mida hii anagombea kupanga foreni na bakuli la ammonium akapate ugali. View attachment 1980933