Ole Nasha: Monduli wanarudia mtihani waliofeli 2015

Dunamist

JF-Expert Member
Aug 13, 2018
474
682
Meneja wa kampeni wa mgombea wa CCM Julius Kalanga katika uchaguzi wa marudio katika jimbo la Monduli mbunge wa Ngorongoro na naibu waziri wa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha amesema wana Monduli wamepata nafasi ya kufanya masahihisho baada ya kufelimtihani mwaka 2015.

"Sasa tumekuja kwenu mfanye marekebisho ya mtihani wa 2015, tumemleta tena Kalanga akitoka katika chama ambacho hakina ilani ya kuwaletea maendeleo, hii ni fursa ya kufanya masahihisho" Alisema Ole Nasha. Ole nasha alisema Kalanga ndiye chaguo sahihi kwa wana Monduli

Katika uchaguzi huo wa marudio,wabunge 16 wa CCM wametia kambi jimboni humo kupambana na waziri mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya CDM bwana Edward Lowassa ambaye yuko bega kwa bega na mgombea wa CDM ndugu Yonas Laizer.

Source: Mwananchi
 
Meneja wa kampeni wa mgombea wa CCM Julius Kalanga katika uchaguzi wa marudio katika jimbo la Monduli mbunge wa Ngorongoro na naibu waziri wa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha amesema wana Monduli wamepata nafasi ya kufanya masahihisho baada ya kufelimtihani mwaka 2015.
"Sasa tumekuja kwenu mfanye marekebisho ya mtihani wa 2015, tumemleta tena Kalanga akitoka katika chama ambacho hakina ilani ya kuwaletea maendeleo, hii ni fursa ya kufanya masahihisho" Alisema Ole Nasha. Ole nasha alisema Kalanga ndiye chaguo sahihi kwa wana Monduli
Katika uchaguzi huo wa marudio,wabunge 16 wa CCM wametia kambi jimboni humo kupambana na waziri mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya CDM bwana Edward Lowassa ambaye yuko bega kwa bega na mgombea wa CDM ndugu Yonas Laizer.

Source: Mwananchi
Yaani maneno kama haya kwenye nchi za wenzetu yanasemwa na wapiga debe Stendi lakini Tanzania yanasema na Waziri Mdogo tena wa Elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nataka nione kama kweli LOWASA ana nguvu.... naamini nchi ilimshinda kwa kuwa ni kubwa.... naamini monduli hatoruhusu kuibiwa kura... na kama ikitokea... basi nae ni mlanguzi tu, hana nia ya uongozi.
 
Mi nataka nione kama kweli LOWASA ana nguvu.... naamini nchi ilimshinda kwa kuwa ni kubwa.... naamini monduli hatoruhusu kuibiwa kura... na kama ikitokea... basi nae ni mlanguzi tu, hana nia ya uongozi.
Kwa hiyo CDM ikishinda Monduli, hao wabunge 16 walioweka kambi pale watakuwa hawana nguvu mkuu?
 
Afu ndo mtu alopewa jukumu la kukuza elimu yetu,tutegemee nini kutoka kwa mtu kilaza kama huyu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tutegemee kuona watu zaidi wakirudia mitihani mkuu
 
Ha
Yaani wamefeli mtihani ina maana jibu waliloweka halikuwa sahihi sasa mnarudisha jibu lile lile unategemea kufaulu?
Hapo kweli kuja tatizo. Lakini ndo hivyo tena, kuona watu namekariri majibu! Wapi ambako watarudia jibu lile lile!
 
Back
Top Bottom