Old school: Nyimbo za R&B na Hiphop za Kingereza zilizotamba

Naught by nature; craziest
Shaba ranks;slow n sexy
Usher ; nice n slow
Shaka demus n priel;bambam
Shaba ;ting a ling
 
kuna ngoma moja ilitelemshwa na mzee mzima Busta ft Zhane its a party naikubali sana
 
Mwaka 2002-06 ulikua ni bora sana katika muziki wa hip hop. Hapa zilitoka album na nyimbo kali sana za hip hop. Hii ni muendelezo wa evolution ya hip hop.. Hapa ndipo 'ngumu' zilipotea rasmi-(kuanza kwa electro hip hop). Time hii ndio kampuni kubwa zilimazia 'wakali wa ngumu' na kuchukua 'commercials' zaidi. Baada ya era hii ndio mfn jay z-as a presd-alimtosa dmx def jam na kumchukua Rihana.

Miaka hii makundi like G Unit yalisumbua sana. Kundi hili (nililolihusudu), likuundwa na wakali kama Young Buck (mgumu), Lloyd banks(aliyekua na 'utoto' na kiburi) pamoja nae 5O cents. Album yao ya Beg for Mercy bado itahusudiwa..

Moja ya nyimbo classic ilikua ni I wanna get to know you, waliyomshirikisha mkali Joe Thomas (msikilize katika album yake ya My Name is Joe).

Nyimbo hii walisample nyimbo yake shoga Marvin Gaye, iliiyoitwa Come live with me my Angle (hii hapa )

Dude lenyewe ni hili hapa..

()
 
Donel Jones This Love
Hii ngoma acha kabisa. Yule mbwa aliyepiga lile gitaa ama kweli anajua kukuna nyuzi za gitaa. Hapa umenifanya niisikilize tena hii ngoma. Acha kabisa. Donell Jones akiingia studio anajua kutulia yule jamaa na sauti yake ya kumfanya demu amsamehe na kumrudia mwanaume aliyezaa na mdogo wake.
 
Fat Joe ft Ashanti...What's Luv, Celine Dion I love you & I'm Alive, Nelly Dilemma, Michael Jackson....You are not alone
 
Back
Top Bottom