Old is Gold: Good music never dies

Dang,he was amazing na vituko vyake halafu hizo panties kama kwenye U Can't Touch This mi hoi!!!..leo nimekaa na kukumbuka hizi songs, nimesikiliza na kucheza acha tu!!..Music is such a beautiful thing!!!..
Mimi nakereka vile uhuni, dawa za kulevya na kamari huwazidi na kufulia. Huyu Hammer sijui kama alirudi kwa mstari.Alufulia mbaya kwa kamari.Sijui ana hali gani.

Similarly, Boby Brown, fulu unga.Kamharibu mkewe na mtoto mpaka wamerest in peace.

Lakin ukirejea kwenye vipaza sauti, salute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani, binafsi nimechelewa sana kuuona huu uzi. Kwakweli oldies ni ugonjwa wangu. Sasa nionavyo ni kama uzi hautendewi haki kabisa.

Ninashauri walau tuwe na utaratibu wa kuzichambua ngoma na wasanii wake.Yani kujua kama msanii X yuhai au la, alivuma na single gani, mwaka gani au nini special tunapaswa kujua n.k.Tukumbushane na DJ s na dancers waliowika zama hizo, kina marehemu Black moses na wenzao. Tunabadilishana uzoefu. Mimi nayafeel sana haya madude.


Asante na hongera aliyeanzisha na waasisi wengine wa uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nguli naye hayupo nyuma. Yeye na Franco Luambo Makiadi walitisha enzi za miaka ya 70 na 80
 

Attachments

  • Rochereau Tabu ley - Maze..mp4
    14.1 MB · Views: 58
James Ingram hatunae tena daah
Naomba muweke hata wimbo wake mmoja hapa
Nakumbuka alimuandikia MJ wimbo pia

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
James Ingram hatunae tena daah
Naomba muweke hata wimbo wake mmoja hapa
Nakumbuka alimuandikia MJ wimbo pia

Sent from my SM-G570F using Tapatalk

Masikini apumzike kwa amani. Basi tumkumbuke kwa nyimbo mbili tatu.



I did my best but I guess my best wasn't good enough
'Cause here we are back where we were before
Seems nothing ever changes, we're back to being strangers
Wondering if we oughta stay or head on out the door

Just once, can't we figure out what we keep doing wrong
Why we never last for very long
What are we doing wrong
Just once, can't we find a way to finally make it right
Make the magic last for more than just one night
If we could just get to it, I know we could break through it

I gave my all but I think my all may have been too much
'Cause Lord knows we're not getting anywhere
Seems we're always blowing whatever we got going
And it seems at times with all we've got we haven't got a prayer

Just once, can't we figure out what we keep doing wrong
Why the good times never last for long
Where're we going wrong
Just once, can't we find a way to finally make it right
Make the magic last for more than just one night
I know we could break through it, if we could just get to it

Just once, I want to understand
Why it always come back to good-bye
Why can't we get ourselves in hand and admit to one another
We're no good with out the other
Take the best and make it better
Find a way to stay together

Just once can't we find a way to finally make it right
Make the magic last for more than just one night
I know we could break through it, if we could just get to it
Just once
I know we can get through it
Just once

 
45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom