Iweje aruhusiwe kusalijiwa yanga na kupewa kibali na chama cha fufa
kazi kwenu sijui mtamdabina rage wenu loh
Umepatia kweli, kwa sababu tafsiri ya Kiingereza ya neno hilo ndilo linalofaa hasa kuelezea hisia za Wanasimba kwa kiongozi wao mwenye jina hilo.Ukweli unajulikana tangu mwanzo. Pesa ya Okwi ililipwa zamani tu na watu washakula. Ila kwa kuwa klabu ya Simba ina wanachama waliojaa mihemko, hucheza kwa tune za wanasiasa. Kina mzee wa Kinesi waliliona hili wakapanga mapinduzi, wakaonekana wasaliti. Mtamkoma rage na mirindimo ya kisomali, wacha kabisa.
kiswahili mhimu sana!