Okwi ajiunga na Azam

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,977
20,243
Mshambuliaji lulu wa klabu ya Simba ya jijini Dar, Emanuel Okwi amejiunga na Klabu ya Azam

Taarifa za kuaminika toka ndani ya Simba na Azama zitabainisha hivyo!
 
Kila la kheri kwake.
Jamaa kiwango chake ni kukipiga Ulaya. Hapo Azam naamini ni njia tu; umri pia bado unaruhusu.
 
hana kwango cha ulaya yule bwana....mbona karufishwa baada ya trials.
 
Kama niya kweli hayo basi kwa mtani kunawaka moro.
Ningekuwa mshauri wa Okwi ningemwambia atafute agent mshap akakipige ulaya, ukweli kiwango cha Okwi ni kikubwa
 
Kama ni hivyo,Simba Kwishineeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
 
Kama niya kweli hayo basi kwa mtani kunawaka moro.
Ningekuwa mshauri wa Okwi ningemwambia atafute agent mshap akakipige ulaya, ukweli kiwango cha Okwi ni kikubwa

alienda picnic wakaambiwa mashabiki kaenda ulaya kufanya majaribio hata picha hatujaziona..
 
Kama ni hivyo,Simba Kwishineeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!

simba ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo hata bila okwi..umesikia matusi ya ngasa jana..hata hivyo Okwi bado ana mkataba na simba wa miezi zaidi ya 7..
 
Simba wananiboa. Wanarusu vp staa km huyo kuondoka kirahisi?

usiwe mwepesi wa kulaumu viongozi wanajua umhimu wa okwi pengine kuliko wewe ikitokea wakashindanwa basi timu pinzani itakuwa imetoa dau kubwa mno..na kwasasa okwi bado anabanwa na mkataba..
 
Hah hah hah hah hah! Simba kwishney!!! Wapi Crashwise!

nipo hii habari isikupe matumaini maana yanga mnamwogo okwi kama ukoma lakini mkae mkijua kama akienda azam bado atawaliza ningesikitika hata kulia kama okwi angeenda yanga lakini Azam FC hatakama habari hizi zitakuwa za ukwel sitohofu sana
 
Last edited by a moderator:
Habari hizi chanzo chake ni kwenye bar ya kimpumu na gongo huko mara..hahaha
 
simba ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo hata bila okwi..umesikia matusi ya ngasa jana..hata hivyo Okwi bado ana mkataba na simba wa miezi zaidi ya 7..

jirani mbona mnavyotuchukulia wachezaji tunauchuna tu..
 
jirani mbona mnavyotuchukulia wachezaji tunauchuna tu..

soma post zangu mkuu mimi sina kwi kwi na Azam fc mbaya wangu ni yanga mfano nikilikosa kombe halfu azam akachukua halafu nishike nafasi ya pili nitacheka sana..hata hivyo habari hizi chanzo chake ni kwenye baa ya gongo na chimpumu huko mara usiziamini.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom