Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Nimewaletea latest FIFA ranking kwa nchi wanazotokea wachezaji wa Simba na Yanga ili kupanua mjadala wa kwanini timu gani wachezaji wake wanaitwa kwa wingi katika timu ya taifa.
Kwa mfano Taifa kama Malawi hata Gadiel angekuwepo angeitwa karibuni wachangiaji.
Kwa mfano Taifa kama Malawi hata Gadiel angekuwepo angeitwa karibuni wachangiaji.
Taifa | Nafasi Africa | Nafasi Duniani | Mchezaji | Timu Taifa | ||
49 | 7 | Ghana | 7 | 48 | Benard Morison | Hajaitwa |
57 | 9 | Mali | 9 | 56 | Diarra | Ameitwa |
58 | 10 | Côte d'Ivoire | 10 | 61 | Pascal Wawa | Hajaitwa |
60 | 11 | Burkina Faso | 11 | 58 | Yakuba Soigne | Hajaitwa |
61 | 12 | Congo DR | 12 | 59 | Baka, Moloko, mukoko, bangala, Mugalu, Mayele,Makambo,Djuma Shabani | Baka ameitwa, Mukoko aliitwa zamani |
84 | 17 | Uganda | 17 | 76 | Khalid Aucho, Lwanga | Wameitwa |
87 | 18 | Zambia | 18 | 89 | Larry Bwalya | Ameitwa |
102 | 23 | Kenya | 23 | 103 | Onyango | Ameitwa |
115 | 29 | Malawi | 29 | 123 | Banda, Nyoni | Wameitwa |
129 | 35 | Rwanda | 35 | 133 | kagere | Ameitwa |
137 | 39 | Tanzania | 39 | 134 | | |