Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Mwalimu Nyerere alisema"....Kuna biashara gani Ikulu.... Ukiona mwenzenu ananunua kura kwa ajili ya kuingia Ikulu muogopeni kama Ukoma.... Ikulu ni mahala patakatifu. Ukiwa Ikulu ukapita barabarani elewa kila unayemuona na kila mwenye shida matatizo yake yanakuhusu.... kuna biashara gani Ikulu?????"
Aliyoyasema sasa yako wazi Nyerere ni Nabii
Aliyoyasema sasa yako wazi Nyerere ni Nabii