Bartazar
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 1,043
- 565
Wanaochujwa ccm ni wale ambao hawatokani na mtandao uliomweka madarakani bwana mkubwa, na hivyo wao ni 'victims' wa 'situation'. Hawa wanaambiwa waondoke na wajiunge na vyama vya upinzani hata sasa. Lakini wale wenye impact kubwa kwenye chama, hata wakiwa na tuhuma kubwa namna gani kamwe hawawezi kutolewa, operesheni yoyote ile. Watu kama Chenge, E.L,.... Hawa imeshindikana kuondolewa hata wewe unayejiita genious brain hili unalijua. Kadhalika, wale wote walioonekana kuikosoa serikali hadharani hawajasalimika. Kimsingi ni kama vile oili safi kidogo imechujwa na kuondolewa, na ile chafu kabisa imeachwa kwenye injini.... Injini haitasalimika. Kwa hiyo kwenye hoja yako ya msingi, the vice versa is true!