Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
- Thread starter
- #41
Tatizo Serikali ya Tanganyika imejaa wezi kuanzia Mawaziri mpaka Raisi sasa wale wenzao wa Zanzibar wanaona hawapati kitu,uchotaji kwenye BOT ni wa hatari ,majumba ya BOT ni hatari,sijui Kagoda EPA na mambo kibao,yote yanawafanya Watanganyika kuwa na vitambi pale serikalini,ona yule mzee wa vijisenti ni muda mfupi tu alipata kazi serikalini lakini haijulikani ni miujiza gani ilimtokea akaweza kutengeneza feza kiurahisi.Si tu waachiwe wajiunge na OIC, wapewe uhuru wao kamili kama nchi inayojitegemea kwa kila kitu, nadhani tutakuwa tumepunguza matatizo mengi sana
Sasa na huku Zanzibar wanaona kama ni kusubiri jamaa wanaojaza matumbo kwa kasi na ari mpya watakufa njaa na kubaki kusinyaa tu ,maana hata Kikwete nae yeye na ameanza kujaza jaza na mawaziri wake usiseme utafikiri wanakula hamira ,ila Karume amekondeana yeye na mawaziri wake ni wanyonge ,huku sehemu za kupata feza zimebanwa na Serikali ya Kikwete wanabaki kuuza ardhi kwa wataliana.