Nimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9 View attachment 1203164
na passport juu kabisaNimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9 View attachment 1203164
Wewe Pambana na usharobaro masuala ya chuo tuachie sie washamba. Ukin’ang’ania utapata sifuri tu
We jamaaUmeamua utuwekee na passport kabisakijana
Najaribu kutafuta uhusiano kati picha yako na hii post. Nikipata jibu, nitarudiNimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9 View attachment 1203164
Umeandika nn hapa wwOi oi Home boy ni viplo asee jombalai..ni OG Dingii??Aiko kwerekweche Ariff?...Okay Kama una GPA iyo ambayo umenishinda hata mimi Chaliangu ni kisanganga kutemwa asee!!
Hahahaha umeua mkuuWewe Pambana na usharobaro masuala ya chuo tuachie sie washamba. Ukin’ang’ania utapata sifuri tu
Oi kiongozi hizo dharau sasa mbaba matusi hayo au umejiskia kuandika tu skia kama shida ni caption ya kwa juu hapo hiyo imeteleza kiongozi Arusha imetuathiri hiyo lafudhi so sio unaandika tu mbaba tunaelekezana kiongozi