Ramsey shabani
Member
- Sep 5, 2019
- 18
- 10
Nimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi na g.p.a ya 3.9 first class kwa vyuo hivi vyenye gpa ya 4.0Diploma huwa ni wale waliopata angalau B grade katika gpa sinahuhakika sana ila nafikitiri ni kuanzia 3gpa kwa university ila collage nyingine huwa china ya hapo.
Nimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9 View attachment 1203164
utoto raha sanaaa
Wewe Pambana na usharobaro masuala ya chuo tuachie sie washamba. Ukin’ang’ania utapata sifuri tu
Jamaa ametuwekea na picha yke kabxaNimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9 View attachment 1203164
Ulivyo mlaini hivyo ukijumlisha na matope yaliyoko sentimeta moja na nusu kuelekea ndani toka usawa wa nje wa fuvu lako la kichwa, ninaamini utaenda kuolewa wewe!
Uswaze kiongozi arusha lafudhi hiyoo imetuathiri sanaOi jombii? Duuu
Oi kiongozi hizo dharau sasa mbaba matusi hayo au umejiskia kuandika tu skia kama shida ni caption ya kwa juu hapo hiyo imeteleza kiongozi Arusha imetuathiri hiyo lafudhi so sio unaandika tu mbaba tunaelekezana kiongoziUlivyo mlaini hivyo ukijumlisha na matope yaliyoko sentimeta moja na nusu kuelekea ndani toka usawa wa nje wa fuvu lako la kichwa, ninaamini utaenda kuolewa wewe!
Shukrani sna kiongozi i appreciate u a caption salute saan mkubwa may allah bless uUwezekano upo mkubwa tu wa kupata jombii, wala usihofu
Oi oi...