Kumbe huko CCM wapo wenye akili,nilijua yote mapooza tu yanayounga mkono hata mambo ya kipumbavu.
CCM Pumzika Sasa Wananchi Wameikataa
Mzee wasira ndo katufisha hapa ,maana anajua hana cha kupoteza ,umri uliobaki mbele yake ni mapenzi yake mola ,so hata taifa liteketee hana shida, mzee ana roho mbaya hataki vijana wale matunda ya nchi yao kama ambavyo ameyala kuanzia Nyenyeye yupo.CCM + CDM + ACT + TLP = Watanzania.
Tatizo CCM inatumika na walioishika nchi mateka, watu hawa ndio huwatumia wana CCM bila ya wenyewe kujijua.
Kwa sasa CCM ni adui namba moja wa jamhuri, ni nani hawa walioiteka CCM na kuiteka Dola?
Watanzania wote bila kujali vyama niwakati wakusimama na kudai haki maana haki ndio msingi wa amani na maendeleo, haki inayodaiwa sio tu ya kuchagua na kuchaguliwa bali haki Kila mahala, kwenye ajira, huduma za kijamii nk.
CCM inaamini katika mawazo huru. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake.
Akili mingi mshikaji
Samia mitano tenamimi hupenda kusoma article kama hizi leteni na zingine niendelee kujisomea
Kaongea ukweli
Kwani hao Police wanaingia tu mzigoni pasipo mkuu wa mhimili ambaye ni ccm kusema kitu?CCM inaamini katika mawazo huru. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake.
Ila kujibu haya maoni ni kwamba, sio CCM inayotumia Polisi, bali Polisi ni Mali ya Serikali na kazi yake ni kuhakikisha Serikali inafanya kazi zake katika mazingira yaliyo na utulivu na amani.
Hivyo, yeyote anayesumbua katika hilo atashughulikiwa tu!
HAKI ndio mtindo mzima wa maisha ya binaadam.Tupiganie HAKI bila kujali Vyama wala Itikadi.