Ogopeni Shoprite Kamata,,rombo Bar Sinza,,millenium Tower Wezi!!!

capuchino

Member
Jun 27, 2008
47
0
Kaka Shy.pole Sana Ndugu Yangu Nami Naungana Nawe Kwenye Huzuni,
Hao Jamaa Wanacheza Dili Na Hao Maaskari Wa Kampuni Za Ulinzi....
Majuzi Waliibia Pale Rombo Bar..power Window ,,jeki La Kumshukuru Mungu Ilikuwa Usiku Hawakuona Doller Za Watu 1000..mkojo Ulintoka..nilipouliza Walirudi Na Usemi Huohuo Own Ur Own Risk Dem'm,,,,,dawa Ni Kuandika Watu Wasikanyage Hizo Sehemu Kabisa Kabisa.....
Pole Sana Imagine Nilinunua Power Window 90,000
Walivunja Kioo Kidogo Cha Nyuma 50,000
Spare Tyre 180,000 Dunlop Jamani
Ufundi 10,000

Mkojo Huo Ukashuka Wenyewe Pole Kaka

Wito Wangu Jihadharaini Na Hizi Sehemu Hapo Chini

1))kamata Shoprite

2))pale Millenium Tower Ukienda Millenium Juu

Umeumia Wale Walinzi Ni Wezi Vibaya Mno..wakikuona Tu Wanaita Jamaa Anafungua Achukui Dk 5,,sikuhizi Wanavunja Kioo Cha Nyuma Kidogo Wanaingiza Mkona Wanafungua Mlango Wanaserebuka

3))rombo Bar---- Sinza

Ogopa Sana Hizo Sehemu Ndugu Wacha Unawapa Hela Kwenye Mahitaji Wanataka Kula Na Wewe Kilicho Kwenye Gari!!!!!!!

Narudia Tena Kapombeke Tandale Tandika Mbagala Mbweni Si Hapa Na Gari Yako Hawa Kama Wanaroho Hii Mfano Ukiwa Hauna Gari Umelewa



Jamani



Si Wanakuna&&&&&&&&&&&&&&&********** Shenzi Zenu Wamiliki Na Makampuni Husika Wa Hizi Sehemu Hamna Adabu Kabisa Pumb@@@@#$$%^^ Zenu
 
SHY TUWEKE NA KWA KISWAHILI WENGI HAWAJUI KISWANGILISHI..ILI UJINGA USIENDELEE NIMEONA NIWEKE KICHWA CHA HABARI HALISI WEZZIIIIIII

Beware Shoppers shopping at Shoprite – Kamata Branch

I am a regular shopper shopping at various supermarkets and chains of stores on weekends with my family. On 29th June 2008 I went for shopping at Shoprite which is next to kamata (on Pugu road) parking my vehicle in the shoprite compound as I normally do outside all supermarkets and reputable stores; I went in for shopping. at 3:45pm knowing the fact that at 4pm they close the supermarket. On my way out I read a sign saying that all purchases above Tshs 20,000/- qualify for a free 1.5 litre of Dasani water and I got my free bottle from their duty manager Ms. Zakia.

Coming out of the supermarket I noticed that my vehicle Vitara's doors were open and all power windows from all the doors stolen including a jack and central locking system was tempered. Before I explain further be informed that:-

1) As it was a Sunday and the closing hours were approaching closer there were only about 4 cars parked outside when I entered the supermarket.

2) When I came out there were 2 cars including mine

I called the watchman on duty and he was trying to ignore the matter and push it away by saying that they are not there for our vehicles security but only for securing Shoprite. I called the management and called a police defender which came and the conclusion made was that either shoprite or the Security company to compensate me. The managers Mr. Suleiman Sadik and Ms Zakia were both present when this issue happened. I was told to wait as the Boss of Omega Security would soon come and sort it out with me. I waited with my family for about an hour and half until Mr. Gideon of Omega Security came and all he did was he looked at the car and talked to his watchmen. Assuring me that something positive would turn out the next day, he told me to go as it being Sunday and closing hours were approaching nothing could have been done.

The most astonishing thing is that I went in the supermarket and come out in about 20 minutes time. Some one coming into the shoprite compound opening the drivers side doors and then the rest 3 doors in order to pull out the power window system and also carrying a jack from under the driver seat and yet not getting noticed by Omega watchmen. I feel it's an organized and planned theft. How can a thief know that a vitara has just parked the shoprite premises shortly? Or How can he access to get into the compound if not by the gates? How can he open the vehicle in such a short time and run away with 4 power windows and jack and not get noticed as 4 power windows and jack are bulky.

I then went to Gerezani Police Post and reported a statement (reference – GPP/RB/562/08) after doing so I left for home.

Mr. Gideon of Omega Security had committed on Monday 30th June 2008 to see me at 10am at shoprite kamata for sorting out the issue and compensation. I reached there at 10am but he wasn't there. After a couple of calls he told me that he would visit my office located in kariakoo at 12pm the same day. He came at 12.30 pm and he said that their company can not compensate anything of such kind to any customers. Which means that he was talking in favour of his watchman who are either negligent or are allies of the theft and know that their bosses will assist them in all mishaps. I told Mr. Gideon by doing such things you are encouraging your watchman to be more careless and maybe they know, inform and organize such theft from customer vehicles.

I then took some cops with reference of My RB and went to Shoprite again whereby I met Mr. Gideon readily available to vouch for his watchmen. Just imagine such a big chain of supermarket and a multinational company having such cheap and irresponsible company as their security guards. Mr. Gideon told the cops that the watchman is on duty and shall go tomorrow to police station for answering queries. If shoprite or the ATMS located in the premises had thefts would it be the same issue or the watchmen would be arrested immediately for questioning? Or because I am merely a customer and I am fighting for my rights that's why I am facing this?

The question here is not of the loss of goods worth of Tshs 200,000/-. Here the question is how one is treated in such organisations when you open your mouth to demand your rights.

When I was with the cops and Mr. Gideon of Omega Security couple of other people came there and mentioned similar incidents transpired with them at the same location. And they were told the Owner park their vehicles at their own risk. One of the ladies asked "When we see your watchmen we know our vehicles are safe and secured" And she was replied by Mr. Gideon that the security guards there are for getting vehicles parked orderly and not for security of customer or customer vehicles.

I am ready to volunteer and paint Shoprite walls saying "SECURITY NOT AVAILABLE FOR CUSTOMERS AND CUSTOMER VEHICLES, PARK AT YOUR OWN RISK. OUR WATCHMEN ARE FOR ASSISTING YOU IN PARKING ONLY"

I will email this fact to all people that I know so that the know their rights when the shop at Shoprite Supermarkets.

A frustrated customer

Muslim Bharwani



Kindly forward this email to all your friends and relatives in Tanzania so that they dont face the same problems as I did
 
Duh Poleni Sana Yaani Mlivyolalamika Zaidi Ya Wafiwa Jamani Na Natumaini Wamewaibia Katikati Ya Mwezi....mi Nafikiri Hii Ndio Solution Tuwaanike Wote

Kwa Wale Walioibiwa Sehemu Nyingine Tumwagieni Tuzijue Hizo
 
Nyinyi mlioibiwa, msiende kununua power windows za DILI tafadhalini, maana karibu zote zitakuwa zimeibwa mahali.

Taarifa hizi ni muhimu zitasaidia wengine.
Iko haja ya kuwawekea kamtego.



.
 
..Narudia Tena Kapombeke Tandale Tandika Mbagala Mbweni Si Hapa Na Gari Yako Hawa Kama Wanaroho Hii Mfano Ukiwa Hauna Gari Umelewa

Nakumbushia tu na kutilia msisitizo- DONT DRINK AND DRIVE!. Ni vyema uache gari lako nyumbani kama unapanga kwenda mbali kupombeka, tumia public transport au nenda na rafiki anaye drive asiyetumia kilevi, ajali za barabarani zina kinga.
 
Pole sana, ila mimi nafikiri kama ni kweli huu mpango wa CCTV utafanya kazi huko kwenye Mahoteli na Nyumba za kulala wageni, nafikiri sasa kuna haja ya kuwekwa hata barabarani maaana nchi imeshakuwa ngumu, mbaya zaidi uwiano wa maisha ndio unazidi kuwa mkubwa kati ya Mafisadi na Walalahoi, chakustaajabisha bado hao hao walalahoi ndio tunaendelea kuibiana wenyewe kwa wenyewe (Sina maana wakaibe kwa mafisadi) ila naona kama inakuwa kama vile Mbwa kala mbwa.
 
Mkasa kama huo pia nilishawahi kuushudia Makumbusho village (ilikuwa siku ya kawaida, sio ya ngwasuma).. Watu waliiingia na kutoka baada ya dk 10 na kukuta watu washaiba power window na distributor. Tunauliza walinzi waliokuwa nje wanadai hawajaona kitu! Tena worse enough pale makumbusho palikuwa hamna hata kibao kinachoonyesha kuwa parking ni at owners' risk! Nina hakika hawa walinzi huwa wanakula njama na wezi hawa!
 
wanandugu hii ni jana tu imetokea!!!!!tena pale ROMBO BAR SINZA
MTU NA FAMILIA YAKE WAMAKUJA KULA CHAKULA CHA JION MASKINI
TUNATOKA NA KUKUTA WANATUKANANA NA WALINZI FEKI,,,MWENYEWE ALIPOKUJA
ALIWACHUKUA WAKAENDA NA YULE MLINZI NDANI YA HOTEL KUKIMBIA AIBU KILICHOENDELEA WALIOKUWAPO TUSAIDIEN KILICHOENDELEA!!!!!!!!!!!!!!
 
Ila Gari Yake Ilikutwa Wazi Wamevunja Kioo Kikubwa!!!!!!!!!!!!!
Au Hawa Jamaa Walinzi Nahisi Mabosi Wao Wakushindwa Kuwalipa Wanawaambia Mtumie Akili Kujilipa Wenyewe!!!!!!
Kazi Kubwa
 
Nyinyi mlioibiwa, msiende kununua power windows za DILI tafadhalini, maana karibu zote zitakuwa zimeibwa mahali.

Taarifa hizi ni muhimu zitasaidia wengine.
Iko haja ya kuwawekea kamtego.



.

Cha ajabu ni kwamba ukienda kule gerazani kariakoo wanakuuzia parts zile zile za kwako walizokuibia. Imenitokea mara mbili japo maeneo tofauti. Kwa hiyo vibaka wanaziiba then unaenda kuzikuta mnadani zinakusubiri ukazinunue kwa mara ya pili.
 
Mfwatiliaji Umentonesha Kidonda Kikubwa Ndegu Yangu
Mwaka Juzi Baada Ya Kuuza Nyanya Na Kuweka Vjicent Kwenye Vibobwa Mlio Mbali Ni Vibox Vidogo Unatoboa Katikati Sehemu Ya Kuwekea Hela...nikanunua Toyota Hilux..baada Ya Hapo Kama Mnavyojua Tunawatunzia Wenye Mali Wakaja Kuchukua Mali Zao Usiku.....asbh Nkashtuka Wameshakomba Bila Kunijulisha ...nikaambiwa Niende Pale Gerezani Kufika Nikaulizwa Unaitaji Cha Gari Gani Nikawajibu Hilux ,...wakauliza Umetokea Wapi Nkawaambia Tankibovu!!!!1@@@@####sito Na Sitaamini Akaulizwa Mtu Jamani Mzigo Wa Tankibovu Ushaingia Wakasema Uko Uhuru Unakuja!!!!!!!!!!nkahisi Maajabu Kufika Nikaingizwa Sehemu Nkaambiwa Kioo Kipo Una 50,000...nkawaomba Nina 30,000 Wakabisha Mwisho Nkaambiwa Nitoe@#
Nikiwa Nasubiri Alikuja Jamaa Nae Anasubiri Mzigo Wa Magomeni Yaani Wake Ulioibiwa Alioambiwa Asubiri Akatulia Ulipofika Akaona Lebo Ya Kioo Chake Kupiga Makelele!!!!!changu Jamani Wezi Aliishia Kuona Chenga Chini Na Huku Kila Mmoja Akiondoka !!!!

Baadae Nikaambiwa Nisubiri!!!walahi Nikaletewa Na Risiti Nduguzanguni...nikaambiwa Wapi Unaishi Tankbovu..nkaambiwa Tax 15,000..cikuwa Na Jinsi Nkawalipia Nkapelekewa Nyumbani Na Jamaa Nilieenda Nae Akasema Nimpe 2000 Anifungie!!!!
Kaka Sikuamini Tena Na Ndipo Nilipojua Kumbe Haya Magari Si Ya Kwetu Tunawatunzia Watu ...tatizo Hawapigi Hodi Kaija Kuchukua

%%%%%%%^makumbusho Parking Soo!!!!!$*(())__))_)_

millenium Tower Soo!!!!!!!!!!!

shopritezote Hasa Kamata Soo!!!!!!

rombo Bar Pale Shekilango Walinzi Soo!!!!

tuongezeeni List Hapo Chini

tuwenao Makini!!!!!

Tusisahau Uwanja Wa Taifa!!!!
 

na kweli!!!!

...hata ukienda na polisi ushauri wao ni huo huo, bora tu ukinunue kioo cha gari yako kuliko jamaa wakivunje mbele yako!....

inaudhi, inasikitisha mwishowe utabakia kucheka tu

kuna zile ribits unazoweza chomea kuzungushia kioo, kidooogo zinasaidia, kwanza inamchukua mwizi muda kidogo, na kikiweka ufa wanakiacha.

Escudos na Vitara kuibiwa power windows nalo ishakuwa mchezo wa kawaida, haiwachukui hata dakika tatu kungoa mashine.. Bora kudunduliza zaidi kidogo ukanunue RAV4.

Bongo, gari yako lakini side mirrors, spare tyre, wheel caps, windscreen zote ujue 'umewabebea watu mchezo wa Upatu', kaaazi kweli kweli.
 
Ndugu yangu hii kali,najua Gerezani haya mambo yanafanyika lakini hili la kuambiwa subiri mzigo wa sehemu fulani ,limeniacha hoi.
Sijui tunaelekea wapi watanzania.
Mfwatiliaji Umentonesha Kidonda Kikubwa Ndegu Yangu
Mwaka Juzi Baada Ya Kuuza Nyanya Na Kuweka Vjicent Kwenye Vibobwa Mlio Mbali Ni Vibox Vidogo Unatoboa Katikati Sehemu Ya Kuwekea Hela...nikanunua Toyota Hilux..baada Ya Hapo Kama Mnavyojua Tunawatunzia Wenye Mali Wakaja Kuchukua Mali Zao Usiku.....asbh Nkashtuka Wameshakomba Bila Kunijulisha ...nikaambiwa Niende Pale Gerezani Kufika Nikaulizwa Unaitaji Cha Gari Gani Nikawajibu Hilux ,...wakauliza Umetokea Wapi Nkawaambia Tankibovu!!!!1@@@@####sito Na Sitaamini Akaulizwa Mtu Jamani Mzigo Wa Tankibovu Ushaingia Wakasema Uko Uhuru Unakuja!!!!!!!!!!nkahisi Maajabu Kufika Nikaingizwa Sehemu Nkaambiwa Kioo Kipo Una 50,000...nkawaomba Nina 30,000 Wakabisha Mwisho Nkaambiwa Nitoe@#
Nikiwa Nasubiri Alikuja Jamaa Nae Anasubiri Mzigo Wa Magomeni Yaani Wake Ulioibiwa Alioambiwa Asubiri Akatulia Ulipofika Akaona Lebo Ya Kioo Chake Kupiga Makelele!!!!!changu Jamani Wezi Aliishia Kuona Chenga Chini Na Huku Kila Mmoja Akiondoka !!!!

Baadae Nikaambiwa Nisubiri!!!walahi Nikaletewa Na Risiti Nduguzanguni...nikaambiwa Wapi Unaishi Tankbovu..nkaambiwa Tax 15,000..cikuwa Na Jinsi Nkawalipia Nkapelekewa Nyumbani Na Jamaa Nilieenda Nae Akasema Nimpe 2000 Anifungie!!!!
Kaka Sikuamini Tena Na Ndipo Nilipojua Kumbe Haya Magari Si Ya Kwetu Tunawatunzia Watu ...tatizo Hawapigi Hodi Kaija Kuchukua

%%%%%%%^makumbusho Parking Soo!!!!!$*(())__))_)_

millenium Tower Soo!!!!!!!!!!!

shopritezote Hasa Kamata Soo!!!!!!

rombo Bar Pale Shekilango Walinzi Soo!!!!

tuongezeeni List Hapo Chini

tuwenao Makini!!!!!

Tusisahau Uwanja Wa Taifa!!!!
 
Cha ajabu ni kwamba ukienda kule gerazani kariakoo wanakuuzia parts zile zile za kwako walizokuibia. Imenitokea mara mbili japo maeneo tofauti. Kwa hiyo vibaka wanaziiba then unaenda kuzikuta mnadani zinakusubiri ukazinunue kwa mara ya pili.
huu ni udhaifu wa security system yetu POLISI WANAJUA NA BADO UKIENDA GEREZANI UNAUZIWA MALI YAKO...!


AU GEREZANI KUNA MKUBWA ANA-HISA.....?
 
Mi Nahisi Kuna Polisi Au Mkubwa Yeyote Anayehusika Na Gerezani, Na Kama Si Wakubwa Hata Polisi Wa Doria (tzr) Manake Na Wao Kikiibiwa Kitu Wanajua Ni Nani Anahusika..... Na Kama Hutoi Kitu Kidogo Basi Tena.....!
Nchi Hii Ni Kama Bwawa La Samaki ( Fish Pond) Humo, Samaki Wakubwa Wakubwa Huwameza Wadogo, Na Machozi Ya Hao Samaki Wadogo Huenda Na Maji ( Remmy)
 
Mi Nahisi Kuna Polisi Au Mkubwa Yeyote Anayehusika Na Gerezani, Na Kama Si Wakubwa Hata Polisi Wa Doria (tzr) Manake Na Wao Kikiibiwa Kitu Wanajua Ni Nani Anahusika..... Na Kama Hutoi Kitu Kidogo Basi Tena.....!
Nchi Hii Ni Kama Bwawa La Samaki ( Fish Pond) Humo, Samaki Wakubwa Wakubwa Huwameza Wadogo, Na Machozi Ya Hao Samaki Wadogo Huenda Na Maji ( Remmy)

...huenda mambo ya 10% hayo, mrema alisema 'mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake!'

ndio maana bora kuwa na bastola tu, jino kwa jino.
 
Msisahau Pale Mlimani City, Ukisahau Laptop Kwenye Gari, Sijui Wana Darubini Ukirudi Haipo. Huwa Najiuliza Isije Ikawa Ni Wasomi Wetu Wa Pale Udsm Wanatafuta Vitendea Kazi Nini?
 
Mlimani City Hatari Sana!!!!!!!!!!!!

Jamani Kuna Lililotokea Jana Nilikuwa Pale Msimbazi Piolisi Na Matatizo Yangu Akaja Mama Mmoja Maskini Kutangaza Kaibiwa!!!alipofika
Usiku Ule Alimwambia Polisi Matatizo Yake Akaambiwa Eeh Mama Poleni Sana Sana. Akamuuliza Yule Mama Yukoje????????????

Bila Aibu Yule Kaka (polisi)...alisema Huyo Atakuwa Rasta Ama Black@@
Ni Aibu Ilioje ...huyu Mama Akaambiwa Mama Andikisha Ukimwona Sikukuyoyote Uje Na Hii Karatasi!!!!nilimwambia Mama Pole Sana...

Alichofanyiwa Kweli Mungu Hatowasamehe Watanzaania...mama Alitoka Kupata Kapesa Chake Akaona Viatu Vizuri Akiwa Anatoa Pesa Wakampiga Mchanga Wa Macho Akafungiwa Mawe Size Ya Viatu Wallaah Kweli Hali Ngumu Halafu Yako Light Utasema Sio Mawe Akaleta Pale......nkamwambia Mama Wala Usirudi Tena Pale Wale Wenzao Na Yale Mawe Wanawapigia Simu Na Kuwambia Goodjob......kilichonshtua Walianza Kuuliza Umenunua Kwa Sh Ngapi Akasema 12,000 Mwanangu Kumbe Jamaa Anaulizia Ajue Ana Ngapi Usiku Hataariiiiiiii
 
Pole sana, ila mimi nafikiri kama ni kweli huu mpango wa CCTV utafanya kazi huko kwenye Mahoteli na Nyumba za kulala wageni, nafikiri sasa kuna haja ya kuwekwa hata barabarani maaana nchi imeshakuwa ngumu, mbaya zaidi uwiano wa maisha ndio unazidi kuwa mkubwa kati ya Mafisadi na Walalahoi, chakustaajabisha bado hao hao walalahoi ndio tunaendelea kuibiana wenyewe kwa wenyewe (Sina maana wakaibe kwa mafisadi) ila naona kama inakuwa kama vile Mbwa kala mbwa.

Ukiweka barabarani ndio utakuwa umetoa mtaji mkubwa sana, yaani wataziiba zote na wasikamatwe labla wafunge kwenye nguzo za umeme na hata hivyo watu watazipiga manati, hii ndio bongo, usidhani CCTV za first world ukajua zita apply na bongo. umasikini ndio unatusumbua huku kwa wenzetu gari unalaza nje hakuna wa kuiba, hakuna atakaye nunua spare ya wizi, so demand ya stolen properties ni zero na hivyo kucreate zero supply, wakati bongo kila mtu anataka cheap, na stolen properties ni cheap so demand ni 100%++ while supply is 50% unatarajia nini kama sio wizi kuongezeka kumeet demand. Cha muhimu ni kubadili utamaduni kuwa mtu usikubali kununua kitu cha mtaani, nenda dukani, tuone hao wizi watamuuzia nani?, Ila hili linawezekana?, wewe ukisusa wenzio wala!!!!!!
 
Back
Top Bottom