Ogopeni sana watu wanaosema wao hawana upande wowote katika siasa za nchi hii na wakati huo huo wanapiga kura

Kwa mtazamo wangu, watu wasio na upande wowote katika siasa ndio watu walio sahihi na thabiti zaidi kwa sababu zifuatazo.
1. Hawana mapenzi ya chama fulani, kwa hiyo wao hupiga kura kwa kiongoz mwenye sera nzuri.
2. Kwa kuwa hawana mapenzi na chama chochote hawawezi kuwa na conflict of interest, yani hawashawishiki kuchagua kiongoz kutokana na chama chake bali sera. Tofauti na watu wenye mapenzi na chama fulani, wao watapiga kura hata kwa jiwe as long as ndio mgombea wa chama chao aliyesimamishwa.
3. Wakiongea wanaongea uhalisia kama ni kokosoa au kusifia serikali. Tofauti na watu wenye vyama vyao, wakiahribu hawakubali kuambiwa wameharibu wanaita uchochezi, au hata waliopo madarakani wakifanya vizuri wapinzani wao watakosoa na kuongea vibaya tu sababu wanaongea kwa upenzi wa chama na sio uhalisia.
Mfano.
Mshabiki wa Simba/Yanga wa kweli hata Simba/Yanga wawe wanaboronga vipi yeye bado tu atasimama upande huo sababu ya upenzi na sio uhalisia.

NB: Mimi pia sina upande wowote kwenye siasa. Nipo driven na sera za kiongoz husika, sichagui chama nachagua sera.
 
Sina upande wowote wa siasa ukifanya upuuzi nakosoa uwe A au B.
Hakuna kitu kama hicho...kutokuwa na msimamo ni uoga, unafiki na ujinga. Unapotamka tu kwamba huna upande wowote tayari unao upande huna tofauti na mnyama wa porini na unawaficha watu wasifahamu kwa sababu huna ujasiri huo. Unasubiri washindi wakuamulie hatma yako...unataka kula kivulini bila kuhangaika juani.
Sijawahi kupiga kura katika maisha yangu na SITAKUJA KUPIGA KURA.
Ungekuwa na akili kidogo ungejua kwamba kutangaza hivyo hadharani ni aibu. Fikiria watu wengi wanakuwa wajinga kama ulivyo, wakiamini kwa akili zao ndogo kuwa kutopiga kura nako ni sifa, je tutafika?
 
Wanafiki hawawezi kukosekana.alafu pamoja nakua na unafiki wa hivyo bado unawakuta nao wanalalamika mambo yanapoenda ndivyo sivyo.Watu wa aina hiyo siku zote ni wale wasio jiamini,waoga wanaficha hisia au mawazo yao kwakile wanachokiona ndo sahihi ili mradi wasionekane wanaunga mkono upande fulani.Hii yote nikwasababu ya unafiki.
 
Kwa mtazamo wangu,licha ya haki yao ya kutokuwa na upande,hili ni kundi la watu "mzigo" maana ni watu wanaokuwa influenced na matukio yanayofanya na wanasiasa pasipokujali dhamira za wanasiasa hao na wanakuwa ni watu wa kuyumbishwa tu na bahati mbaya kura wanapiga kuchagua viongozi.

Watu wa aina hii,mwanasiasa leo akipata tuhuma za kuua, ufisadi au kudhuru, na kesho akajenga barabara,akawapa hela, n.k, wao watakuja hadharani na kumsifia wanasahau kabisa kuwa ni lazima mwanasiasa huyu afanye mazuri machache ili apate kuungwa mkono ili kesho tena aweze kudhuru, kuiba, n.k(anang'ata na kupuliza).

Watu wasio na upande ambao leo watamsifia na kesho watamlalamikia, wanashindwa kuelewa kuwa mwanasiasa wa aina hii lengo lake ni kuwa-fool watu ili aweze kupata kundi la watu wa kuumunga mkono, hata kama ni wache, licha ya madhambi ya makusudi anayoyafanya.

Kwa upande mwingine, watu wenye upande mara nyingi huangalia zaidi dhamira ya kiongozi na sio matendo au maamuzi anayoyafanya ambayo wakati mwingine ndani yake yanaweza kuwa yamejaa hadaa fulani ili kupumbaza watu.

Watu wanye upande, mara nyingi wao huangali zaidi dhamira ya mtu na wakishagundua ni mtu wa aina gani, basi hufanya maamuzi ya ama kumuunga mkono au kumkataa (kuwa na upande mmoja) na watu wa aina hii ndio wanaweza kufanya maamuzi sahihi katika sanduku la kura tofauti na wale utakaowasikia wakisema mimi niko neutral ambao huyumbishwa na matukio au maamuzi ya wanasiasa pasipo kuwapma dhamira zao na matokeo yake hufanya maamuzi yasiyo sahihi katika kuchagua viongozi.

Kwahiyo, wale wote ambao leo utwasikia wanamlalamikia mwanasiasa fulani na kesho wanamfagilia,mjue tu watu wa aina hiyo teyari ni mateka wa fikra na hawana tofauti na mwanaume alielishwa "limbwata" na kuwa "zezeta" na hawa wanaponza hata wale walioamua kufanya maamuzi ya kumkataa mwanasiasa au kiongozi wa aina hiyo (mwenye tabia ya kung'ata na kupuliza).

Ni kweli binadamu wote tuna mapungufu, lakini kufanya au kutenda mambo mabaya kwa makusudi,hii huwa ni dhamira ya mtu ambayo siku zote ndio tunapaswa kuitumia katika kumpina mtu, kiongozi au mwanasiasa yoyote yule.

Kiongozi bora apimwe wa dhamira iliyo nyuma ya maamuzi au matendo yake na kamwe si kwa kutazama matendo au maamuzi anayoyafanya kwani mtapotea na kudanganyika.


CC: Fatma Karume, Maria Sarungi, na wanaharakati uchwara wote hapa Tanzania.
 
Kwa mtazamo wangu,licha ya haki yao ya kutokuwa na upande,hili ni kundi la watu "mzigo" maana ni watu wanaokuwa influenced na matukio yanayofanya na wanasiasa pasipokujali dhamira za wanasiasa hao na wanakuwa ni watu wa kuyumbishwa tu na bahati mbaya kura wanapiga kuchagua viongozi.

Watu wa aina hii,mwanasiasa leo akipata tuhuma za kuua, ufisadi au kudhuru, na kesho akajenga barabara,akawapa hela, n.k, wao watakuja hadharani na kumsifia wanasahau kabisa kuwa ni lazima mwanasiasa huyu afanye mazuri machache ili apate kuungwa mkono ili kesho tena aweze kudhuru, kuiba, n.k(anang'ata na kupuliza).

Watu wasio na upande ambao leo watamsifia na kesho watamlalamikia, wanashindwa kuelewa kuwa mwanasiasa wa aina hii lengo lake ni kuwa-fool watu ili aweze kupata kundi la watu wa kuumunga mkono, hata kama ni wache, licha ya madhambi ya makusudi anayoyafanya.

Kwa upande mwingine, watu wenye upande mara nyingi huangalia zaidi dhamira ya kiongozi na sio matendo au maamuzi anayoyafanya ambayo wakati mwingine ndani yake yanaweza kuwa yamejaa hadaa fulani ili kupumbaza watu.

Watu wanye upande, mara nyingi wao huangali zaidi dhamira ya mtu na wakishagundua ni mtu wa aina gani, basi hufanya maamuzi ya ama kumuunga mkono au kumkataa (kuwa na upande mmoja) na watu wa aina hii ndio wanaweza kufanya maamuzi sahihi katika sanduku la kura tofauti na wale utakaowasikia wakisema mimi niko neutral ambao huyumbishwa na matukio au maamuzi ya wanasiasa pasipo kuwapma dhamira zao na matokeo yake hufanya maamuzi yasiyo sahihi katika kuchagua viongozi.

Kwahiyo, wale wote ambao leo utwasikia wanamlalamikia mwanasiasa fulani na kesho wanamfagilia,mjue tu watu wa aina hiyo teyari ni mateka wa fikra na hawana tofauti na mwanaume alielishwa "limbwata" na kuwa "zezeta" na hawa wanaponza hata wale walioamua kufanya maamuzi ya kumkataa mwanasiasa au kiongozi wa aina hiyo (mwenye tabia ya kung'ata na kupuliza).

Ni kweli binadamu wote tuna mapungufu, lakini kufanya au kutenda mambo mabaya kwa makusudi,hii huwa ni dhamira ya mtu ambayo siku zote ndio tunapaswa kuitumia katika kumpina mtu, kiongozi au mwanasiasa yoyote yule.

Kiongozi bora apimwe wa dhamira iliyo nyuma ya maamuzi au matendo yake na kamwe si kwa kutazama matendo au maamuzi anayoyafanya kwani mtapotea na kudanganyika.
Halafu utaibuka sijui toka kwenye pori gani na kujiita MWANADEMOKRASIA. Ukiona watu wanafiki basi fahamu wana practice demokrasia. Kuvumilia na kumpenda adui wako = unafiki.
 
Huwezi kunilazimisha niishi kwa namna unayotaka wewe, huna mamlaka hayo hata kama ningekuwa nimekuoa huna mamlaka ya kuingilia faragha yangu hata siku moja.

Katika vita baridi ambayo ilidhaniwa kuanzisha vita ya tatu ya dunia Tanzania ni moja ya nchi ambayo haikufungamana na upande wowote enzi zile na hadi leo, iliamua kwa uhuru wake.

Usitake kila mtu aishi kwa namna unavyotaka au unavyoona wewe.

Endelea kuabudu siasa.
Hakuna kitu kama hicho...kutokuwa na msimamo ni uoga, unafiki na ujinga. Unapotamka tu kwamba huna upande wowote tayari unao upande huna tofauti na mnyama wa porini na unawaficha watu wasifahamu kwa sababu huna ujasiri huo. Unasubiri washindi wakuamulie hatma yako...unataka kula kivulini bila kuhangaika juani.
Ungekuwa na akili kidogo ungejua kwamba kutangaza hivyo hadharani ni aibu. Fikiria watu wengi wanakuwa wajinga kama ulivyo, wakiamini kwa akili zao ndogo kuwa kutopiga kura nako ni sifa, je tutafika?
 
Suala la kutokuwa na upande sio ukigeu geu au kuyumbishwa la hasha,mtu kama sitaki kuwa Kasuku kwa kundi fulani la watu bali mi huwa naangalia mtu anayefanya vizuri,nyie mashabiki wa vyama kazi yenu kubwa ni kuunga mkono kila kitu hata kama ni cha hovyo au hata kama huyo ni fisadi na upande mwingine kupinga kupinga tu kila kitu
 
Kwa mtazamo wangu,licha ya haki yao ya kutokuwa na upande,hili ni kundi la watu "mzigo" maana ni watu wanaokuwa influenced na matukio yanayofanya na wanasiasa pasipokujali dhamira za wanasiasa hao na wanakuwa ni watu wa kuyumbishwa tu na bahati mbaya kura wanapiga kuchagua viongozi.

Watu wa aina hii,mwanasiasa leo akipata tuhuma za kuua, ufisadi au kudhuru, na kesho akajenga barabara,akawapa hela, n.k, wao watakuja hadharani na kumsifia wanasahau kabisa kuwa ni lazima mwanasiasa huyu afanye mazuri machache ili apate kuungwa mkono ili kesho tena aweze kudhuru, kuiba, n.k(anang'ata na kupuliza).

Watu wasio na upande ambao leo watamsifia na kesho watamlalamikia, wanashindwa kuelewa kuwa mwanasiasa wa aina hii lengo lake ni kuwa-fool watu ili aweze kupata kundi la watu wa kuumunga mkono, hata kama ni wache, licha ya madhambi ya makusudi anayoyafanya.

Kwa upande mwingine, watu wenye upande mara nyingi huangalia zaidi dhamira ya kiongozi na sio matendo au maamuzi anayoyafanya ambayo wakati mwingine ndani yake yanaweza kuwa yamejaa hadaa fulani ili kupumbaza watu.

Watu wanye upande, mara nyingi wao huangali zaidi dhamira ya mtu na wakishagundua ni mtu wa aina gani, basi hufanya maamuzi ya ama kumuunga mkono au kumkataa (kuwa na upande mmoja) na watu wa aina hii ndio wanaweza kufanya maamuzi sahihi katika sanduku la kura tofauti na wale utakaowasikia wakisema mimi niko neutral ambao huyumbishwa na matukio au maamuzi ya wanasiasa pasipo kuwapma dhamira zao na matokeo yake hufanya maamuzi yasiyo sahihi katika kuchagua viongozi.

Kwahiyo, wale wote ambao leo utwasikia wanamlalamikia mwanasiasa fulani na kesho wanamfagilia,mjue tu watu wa aina hiyo teyari ni mateka wa fikra na hawana tofauti na mwanaume alielishwa "limbwata" na kuwa "zezeta" na hawa wanaponza hata wale walioamua kufanya maamuzi ya kumkataa mwanasiasa au kiongozi wa aina hiyo (mwenye tabia ya kung'ata na kupuliza).

Ni kweli binadamu wote tuna mapungufu, lakini kufanya au kutenda mambo mabaya kwa makusudi,hii huwa ni dhamira ya mtu ambayo siku zote ndio tunapaswa kuitumia katika kumpina mtu, kiongozi au mwanasiasa yoyote yule.

Kiongozi bora apimwe wa dhamira iliyo nyuma ya maamuzi au matendo yake na kamwe si kwa kutazama matendo au maamuzi anayoyafanya kwani mtapotea na kudanganyika.
Salary Slip kwa kukusaidia watu wasio na chama kwa wenzetu wanaitwa "Independent" tatizo lako ubongo wako umenaswa na siasa za Tanganyika peke yake.

Kura ni haki ya kikatiba ya Kila raia aliyefikia umri uliowekwa kikatiba was kupiga Kura.Ndiyo maana hata wenye vyama wanaweza kumpigia Kura rais kutoka chama chake na mbunge chama tofauti.

Hakuna sehemu kikatiba inalazimisha mtu kuwa mfuasi was chama chochote.

Sijui umri wako labda 1995 ulikua bado hujazaliwa Mwl Nyerere wakati akimnadi Mkapa alisema 'Nampigia kampeni mgombea urais was ccm wabunge chagueni mnaowaona wanawafaa"

Wenye akili za kiitikadi Kama zako na wasiojua siasa za huko duniani peke yao watakuunga mkono.
 
Salary Slip kwa kukusaidia watu wasio na chama kwa wenzetu wanaitwa "Independent" tatizo lako ubongo wako umenaswa na siasa za Tanganyika peke yake.

Kura ni haki ya kikatiba ya Kila raia aliyefikia umri uliowekwa kikatiba was kupiga Kura.Ndiyo maana hata wenye vyama wanaweza kumpigia Kura rais kutoka chama chake na mbunge chama tofauti.

Hakuna sehemu kikatiba inalazimisha mtu kuwa mfuasi was chama chochote.

Sijui umri wako labda 1995 ulikua bado hujazaliwa Mwl Nyerere wakati akimnadi Mkapa alisema 'Nampigia kampeni mgombea urais was ccm wabunge chagueni mnaowaona wanawafaa"

Wenye akili za kiitikadi Kama zako na wasiojua siasa za huko duniani peke yao watakuunga mkono.
Hakika mkuu umemaliza kila kitu
 
Suala la kuwa mpiga kura usiye na ufuasi wa moja kwa moja na chama furani cha siasa ni la kimila. Siasa za ushindani Duniani kote zina watu wa aina hiyo. Kwahiyo siyo kosa, ni utamaduni wa kawaida. Pia, kuwa ama kutokua mfuasi wa chama furani haikufungi mdomo wa kukosoa, kushauri au kusifia chocolate.
Kwakweli kwenye vyama vyetu kuna matukio kadhaa yanayokatisha tamaa, ambayo hufanywa na ima vikao au viongozi wa vyama husika kwa nguvu walizonazo. mambo kama hayo huwafanya wengi wajiulize kama kweli wapo mahali sahihi au laa, na mwisho huja na uamuzi wa kujiweka mbali na siasa za ufuasi
 
Hakika mkuu umemaliza kila kitu
Mkuu hapa ni kuelemishana tu maana kuna watu wanalazimisha watu wawe wafuasi wa vyama sababu tu wao wameamua kuwa wanachama. Salary Slip kwa UKAWA na kuna mtu anaitwa LIZABON wa CCM hawa watu ni kama makada wa vyama lakini kichwani ni weupe kwa ufahamu hasa wa siasa za vyama vingi.

Salaru Slip angejua kwanini viongozi wake wakina MBOWE wanalialia na mikutano ya hadhara asingeandika hii Thread. Salary Slip haijui kabisa maana ya SWING VOTE. Kama kila mtu angekua ni mwanaitikadi wa vyama kusingekuwepo na hicho kitu. Swing Vote ni watu wasiotegemezi wa chama chochote. Hawa watu wanasubiri sera zinavyonadiwa wakiridhika nazo basi hukipigia kura kile chama kilichonadi sera nzuri. Ndiyo maana si ajabu mtu akapigia kura chama tofauti kila mwaka.
 
Usipokua na chama chochote cha siasa huna tofauti na punguani , haijarishi hicho chama kinaongoza nchi au laah,kidogo au kikubwa.

Lazima uwe na msimamo/itikadi kutegemea chama gani kinaitekeleza.

Maisha ni siasa, siasa ni maisha!.
Taifa langu limefanikiwa kuzalisha watu wa aina yako. Safi sana
 
Kwa mtazamo wangu,licha ya haki yao ya kutokuwa na upande,hili ni kundi la watu "mzigo" maana ni watu wanaokuwa influenced na matukio yanayofanya na wanasiasa pasipokujali dhamira za wanasiasa hao na wanakuwa ni watu wa kuyumbishwa tu na bahati mbaya kura wanapiga kuchagua viongozi.

Watu wa aina hii,mwanasiasa leo akipata tuhuma za kuua, ufisadi au kudhuru, na kesho akajenga barabara,akawapa hela, n.k, wao watakuja hadharani na kumsifia wanasahau kabisa kuwa ni lazima mwanasiasa huyu afanye mazuri machache ili apate kuungwa mkono ili kesho tena aweze kudhuru, kuiba, n.k(anang'ata na kupuliza).

Watu wasio na upande ambao leo watamsifia na kesho watamlalamikia, wanashindwa kuelewa kuwa mwanasiasa wa aina hii lengo lake ni kuwa-fool watu ili aweze kupata kundi la watu wa kuumunga mkono, hata kama ni wache, licha ya madhambi ya makusudi anayoyafanya.

Kwa upande mwingine, watu wenye upande mara nyingi huangalia zaidi dhamira ya kiongozi na sio matendo au maamuzi anayoyafanya ambayo wakati mwingine ndani yake yanaweza kuwa yamejaa hadaa fulani ili kupumbaza watu.

Watu wanye upande, mara nyingi wao huangali zaidi dhamira ya mtu na wakishagundua ni mtu wa aina gani, basi hufanya maamuzi ya ama kumuunga mkono au kumkataa (kuwa na upande mmoja) na watu wa aina hii ndio wanaweza kufanya maamuzi sahihi katika sanduku la kura tofauti na wale utakaowasikia wakisema mimi niko neutral ambao huyumbishwa na matukio au maamuzi ya wanasiasa pasipo kuwapma dhamira zao na matokeo yake hufanya maamuzi yasiyo sahihi katika kuchagua viongozi.

Kwahiyo, wale wote ambao leo utwasikia wanamlalamikia mwanasiasa fulani na kesho wanamfagilia,mjue tu watu wa aina hiyo teyari ni mateka wa fikra na hawana tofauti na mwanaume alielishwa "limbwata" na kuwa "zezeta" na hawa wanaponza hata wale walioamua kufanya maamuzi ya kumkataa mwanasiasa au kiongozi wa aina hiyo (mwenye tabia ya kung'ata na kupuliza).

Ni kweli binadamu wote tuna mapungufu, lakini kufanya au kutenda mambo mabaya kwa makusudi,hii huwa ni dhamira ya mtu ambayo siku zote ndio tunapaswa kuitumia katika kumpina mtu, kiongozi au mwanasiasa yoyote yule.

Kiongozi bora apimwe wa dhamira iliyo nyuma ya maamuzi au matendo yake na kamwe si kwa kutazama matendo au maamuzi anayoyafanya kwani mtapotea na kudanganyika.


Ningekuomba sana rudi tena darasani ukazisome siasa za kweli na siyo hizi za maigizo za Tanzania..........


Angalia hili neno An independent or nonpartisan politician labda utafaidika na urudi ukaufuta huu uzi wako
 
Huwezi kunilazimisha niishi kwa namna unayotaka wewe, huna mamlaka hayo hata kama ningekuwa nimekuoa huna mamlaka ya kuingilia faragha yangu hata siku moja.

Katika vita baridi ambayo ilidhaniwa kuanzisha vita ya tatu ya dunia Tanzania ni moja ya nchi ambayo haikufungamana na upande wowote enzi zile na hadi leo, iliamua kwa uhuru wake.

Usitake kila mtu aishi kwa namna unavyotaka au unavyoona wewe.

Endelea kuabudu siasa.
Mkuu kuna baadhi ya nchi zimefaidika na vyama vingi sababu wananchi wake wameelimishwa nini maana ya vyama vingi na kwetu Tanzania bahati mbaya tumevamia mambo ambayo ama hatukuwa tayari ama hatukuelimishwa iapasavyo ndiyo maana unawapata watu kama hawa na kina Salary Slip.

Lawama zote ziende kwa CCM ndiyo maana tuna kina Salary Slip na Lizabon. Mtikila alihimiza tuwe na wagombea huru hata Marehemu Baba wa Taifa alimuunga mkono lakini Mwinyi na Genge lake la wahuni ambalo sasa limetawanyika limehamia mpaka Upinzani walipinga. matokeo yake sasa ndiyo haya.
 
Ningekuomba sana rudi tena darasani ukazisome siasa za kweli na siyo hizi za maigizo za Tanzania..........


Angalia hili neno An independent or nonpartisan politician labda utafaidika na urudi ukaufuta huu uzi wako
Wengi wa wanaokwambia hawana chama ndio wapiga.kura wakubwa wa kile chama cha mafisadi.

Ukweli ni kwamba, hata mtu kama huna chama, kuna chama fulani huwezi tena kuendelea kukichagua kwani kimeshafanya madudu mengi na kwa miaka mingi.
 
Wengi wa wanaokwambia hawana chama ndio wapiga.kura wakubwa wa kile chama cha mafisadi.

Ukweli ni kwamba, hata mtu kama huna chama, kuna chama fulani huwezi tena kuendelea kukichagua kwani kimeshafanya madudu mengi na kwa miaka mingi.
Ukiona hivyo ujue wenzako wana uwezo mkubwa wa ku convince. hujaenda kutongoza msichana wewe na mapesa yako mengi ukashindwa kumpata na masikini akampata? Maana kwa akili yako nimeona huu mfano ni rahisi kwa wewe kuuelewa.

Mtu mwenye akili timamu hata kama haipendi CCM hawezi kwenda kumpigia kura mtu ambaye alitangazwa mwizi na chama husika kwa miaka minane halafu leo walewale wanamuweka kuwa mgombea urais. Ni wenye akili kama zako tu watawaelewa maana ni mazumbukuku.

Sababu umegundua hilo ni juu yako kama unakubalika na hao viongozi wako wajipime upya na kujiuliza kwanini wanakosa imani ya wananchi?????? Siyo kila kukicha kukilaumu chama tawala play your party penye ,matatizo ya ndani rekebisheni siyo kukimbilia wananunuliwa maana hata kina Kubenea walikua wanasema wenzao wananunuliwa huku pembeni na wao wanalalamika.

Zinduka Salary Slip uwe cash siyo salary slip kila mara
 
katika siasa za hizi nchi zetu za dunia ya tatu hakuna namna ya kukwepa kuwa kigeugeu kwani vyama havitofautiani kisera

Unaweza kuwa uko chama tawala lakini ukisikiliza hoja za zitto unaona kabisa zina mashiko sasa unaachaje kumsapoti

Kitu cha msingi sasa ni kuangalia maslahi ya taifa na si kupinga kila kitu au kusapoti kila kitu

Kwa lugha rahisi ni kuwa unatakiwa kujiepusha kuwa na mwenendo kama wa robot
Wewe ndio umenena yote kwa niaba ya wasio upande wowote, unajua washabiki na wafuasi wa vyama vya siasa huwa hawaamini kama kuna watu ambao hawana upande wowote kumbe wapo wengi inaweza ikawa idadi sawa na wafuasi wa vyama ila wao wanaangalia kwa wakati uliopo nani ameweka timu nzuri katika safu yake ya wagombea basi maana ukiwa mfuasi wa chama unaweza ukaweka mtu unamjua kabisa hawezi lakini unaingia kwenye mtego usichague mtu chagua chama.
 
Back
Top Bottom