Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Nimeisikiliza clip ya akina Kubenea wakijadili jinsi ya kummliza Boniface Jacob, wanadai akishaondoka Boniface Jacob itakuwa kazi rahisi kumng'oa Mbowe kwenye uenyekiti
Aisee ni hatari sana ,kama wangefanikisha adhimu yao bila shaka ingesingiziwa serikali kwamba imehusika .
Aisee ni hatari sana ,kama wangefanikisha adhimu yao bila shaka ingesingiziwa serikali kwamba imehusika .