Sema shem....
Pole kwa kuumwa.....
Habari yako shem... Asante for checking up on me...
My health is good Thank God! Weekend hii utaja home? Umepotea bana..lol
AshaDii, pole sana nitakutafuta week hii
Habari yako shem... Asante for checking up on me...
My health is good Thank God! Weekend hii utaja home? Umepotea bana..lol
Heheheee shem bana...
Mimi ni nani hadi nikatae ofa hii? Saa tano asubuh....nakuja kushinda.
kha nawe una support, sasa hapo ushamba uko wapi? lingekuwa ni jambo la kawaida sidhani kama mama mtu angezimia na wazee wengine wangeshangaa.Bwana harusi aache ushamba, kama vipi ale mtoto huyo kiboga!